Staa wa Hiphop Tanzania FidQ Leo Amewafungukia Baadhi ya watu wanaolalamikia kuwa mwanasoka wa Uingereza David Beckham kupost picha Akiwa Tanzania bila ya Kuandika IG kwa watu wake.. Kuwa yupo Tanzania kwenye mbuga ya wanyama ya serengeti..
TANAPA wanataka wapewe 10% ndio watweet kwamba jamaa yuko Bongo as if inamsaidia yy zaidi kuliko utalii, nimeona watu wanamuuloza Beckham kama yuko Africa nikategemea TANAPA watacomment lkn naona kimya
Fid Q unajua maana ya 3rd world countries ajisifie yuko Tz for what? nature? No hakuna mtu yeyote atakayejisifia yupo Tz labda kama alitumwa ndiyo atoe taarifa kafika na evidence aonyeshe
Siyo kila kitu uwe msemaji, Utajiri wa mawazo ya kwenye Beat ukiyatumia kwingine unaonekana mbwabwajaji
Sio kazi yake kutangaza mbuga zetu, yeye kaja kutalii tu..itabidi na sie tuwe tunaposti picha na kusema tunachofanya ili kuwa impress wengine? eg..nakunywa coke unaweka picha, nipo club fulani unaweka picha..daaah! hzi ni kazi za matangazo si kila mtu anaweza., tuache kulalamika hovyo.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.