FidQ Kafunguka Kuhusu David Beckham Kupost Picha Bila ya kusema yupo Tanzania..

Kaongea sense sana farid. Haya mambo waliyaanzisha Clouds. Privacy ndio mpango mzima njaa ya mtu mmoja mwingine toka bara tofauti haimuhusu
 
TANAPA wanataka wapewe 10% ndio watweet kwamba jamaa yuko Bongo as if inamsaidia yy zaidi kuliko utalii, nimeona watu wanamuuloza Beckham kama yuko Africa nikategemea TANAPA watacomment lkn naona kimya
 
Fid Q unajua maana ya 3rd world countries ajisifie yuko Tz for what? nature? No hakuna mtu yeyote atakayejisifia yupo Tz labda kama alitumwa ndiyo atoe taarifa kafika na evidence aonyeshe
Siyo kila kitu uwe msemaji, Utajiri wa mawazo ya kwenye Beat ukiyatumia kwingine unaonekana mbwabwajaji
 
[emoji16][emoji16] tulishaambiwa hatuko creative. pepe gudiola alienda mombasa dunia mzima ilijua jiulizeni wakenya walifanyaje na hakutangaza yeye
 
Sio kazi yake kutangaza mbuga zetu, yeye kaja kutalii tu..itabidi na sie tuwe tunaposti picha na kusema tunachofanya ili kuwa impress wengine? eg..nakunywa coke unaweka picha, nipo club fulani unaweka picha..daaah! hzi ni kazi za matangazo si kila mtu anaweza., tuache kulalamika hovyo.
 
Viongozi wapenda kiki, wananchi pia wanatafuta kiki.
 
Fid Q huyu huyu au !?? Vichambo ka mademu wa insta..
Au hacked!?
 
Endelea kula mchicha".. ipo cku serikalí [HASHTAG]#Fid[/HASHTAG] ni m2 waainagani & anamchango gani ktk jamiiiiiiii. Amante!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…