Sio kazi yake kutangaza mbuga zetu, yeye kaja kutalii tu..itabidi na sie tuwe tunaposti picha na kusema tunachofanya ili kuwa impress wengine? eg..nakunywa coke unaweka picha, nipo club fulani unaweka picha..daaah! hzi ni kazi za matangazo si kila mtu anaweza., tuache kulalamika hovyo.