Fiesta on Clouds TV

yaani bado hajapanda, hawajamlipa nini?

Mzee Mwanakijiji, mpaka saa hizi uko macho? Nani atafungulia kuku na ng'ombe kesho?

Swali Gumu ulilouliza. We kalale tutakujulisha kesho

Pumzika upate nguvu za kukamua maziwa kesho asubuhi.
 
Mzee Mwanakijiji, mpaka saa hizi uko macho? Nani atafungulia kuku na ng'ombe kesho?

Swali Gumu ulilouliza. We kalale tutakujulisha kesho

Pumzika upate nguvu za kukamua maziwa kesho asubuhi.

bora jamaa aimbe hata wimbo mmoja vinginevyo zitapigwa hapo.. maana sidhani kama watu walikuja kwa ajili ya kuangalia local acts tu..
 
mmi nililala kabla ya huyo luda mwenyewe kupanda.. alipanda sa ngapi jamani? au hakulipwa
 
naona alipanda amepost picha kwenye twitter account yake..akisifia tanzania na show kwa ujumla.
 
Duh ina maana wabongo hawajui kama alipanda au la?
 
Kweli Clouds ni homa ya jiji! Kumbe watu walikuwa wanablog humu sambamba na show ilivyokuwa inaendelea. Ahahahaaaaa hahahaaaaa daaaah! salaaleeeeh kudadadadeki.
 
Nimeona mapicha mahali..alipanda bwana!!!

kuna waliokuwa wanatupasha habari hiyo jana.....sasa naona na wao wameingia mitini......shosti....unaweza kujua alipanda saa ngapi?
 
kuna waliokuwa wanatupasha habari hiyo jana.....sasa naona na wao wameingia mitini......shosti....unaweza kujua alipanda saa ngapi?
mhh hata sijui mpendwa...mie nimeona mapicha tu kwenye blog
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…