pantheraleo
JF-Expert Member
- Jan 5, 2013
- 692
- 880
Hatuna mda mchafu
Hivi huyo mtuu wa kumsimamisha saa tisa ni nanii mnatuona wajinga kiivyoo, mliniaribia tym yang najilaum, eatv hebu fanyen kwel bhanaaa nasubir kwa kiu kubwa ya burdani
Nadhani walioenda jana ni wauza maji,sigara na karanga wale wa mtaani.