Fiesta ya cloudsfm jijini Dar. Show ya Jidejaydee na vinega chini ya EA redio siku moja.

sixgates

JF-Expert Member
Joined
Mar 19, 2011
Posts
3,979
Reaction score
1,665
Wakuu. Taarifa za uhakika kutoka Jikoni.

Wakati Cloudsfm wakiendelea na msimu wa fiesta twen zetu mikoani kigoma, na tabora taarifa za kuaminika ni kwamba Jide Jay Dee amepata udhamini kutoka east africa redio, airtel na makampuni mengine matatu likiwemo moja la bia ili kufanya tamasha lake.

Taarifa zinadai hilo tamasha litapigwa same day na tamasha la fiiesta. Watakaohudhuria kwa jidejaydee ni pamoja na vinega, juma kassimu nature, jay moe, prof jay, grace matata, feza kessy atapiga na machozi, dani msimamo, roma mkatoliki, belle 9, na rama dee.

Hizi tetesi nimezipata kutoka kwa mdau wa east africa redio aambao nasikia pia watawaleta wale aligo..

Mwenye taarifa zaidi atupe. Mia
 
ikiwa ni tetesi, hebu tusubiri tuone,mbona jamaa watakonda mbaya!
 
Bifu limekuwa kubwa sasa from FA, Ruge & now to clouds Media Noumer sana!!!
Ngoja tuone hatima yake nin maana dada Jide anaringia Pesa wakati clouds wao Connection yao ndani till abroad!!!:tape::tape::tape:
 
Ni vizuri tu ili wala bata wataboreshewa burudani na sio nyomi yooooooooooooooote Fiesta lol!
 
hiyo ipo wazi hata tamasha la fiesta kigoma na la kill music tour lilifanyika siku moja lengo lilikua kuwabana wasanii wasishiriki tamasha la fiesta kigoma watu wamewapania sana hawa clouds mwaka huu
 
Fiesta for funny @twenzetu kila mtu na anachokipenda hakunaa kulazimishanaa hapaa
 
Ukitaka kugundua Clouds inaenda kaburinii, angalia jinsi Kilimanjaro lager wanavyoendelea na tour yao wakati Fiesta nayo inaendelea. Wasanii kama Diamond na Snura wanajigawa kwa Kili na Clouds wikiendi moja. Ni mashaka makubwa kwa Clouds waliodhani wana hati miliki ya burudani Bongo. Pumbaff
 
Napenda hyo ya akina jide ifanikiwe, na fiesta ifanikiwe vile vile. Music hautakiwi kuwa na monopoly. Safi saaana hiv tunavyoenda ndo vizuri.
 
Kaa mkao wa kupokea kipigo kitakatifu toka kwa jide ni 8-0 mtakula chezea komando ww
Ingekuwa kinyume na hivyo inavyodaiwa mngesema Clouds ni wabaya kwa sababu wanataka kumharibia biashara huyo kibibi.

Lakini kwa vile sivyo mnashangilia. Mko wajinga sana nyinyi.
 
Jide analipa yaliyotokea the finest.... Yeye alianza wakafata, round hii wanaatangaza wao naye anatangaza.... Wera wera ningependa liibuke kundi la tatu upinzani uzid kunoga....
 

cheki fiesta Tabora jana, huyo bibi na hao vinegu wanaweza kuujaza uwanja huu wa Ali hassani mwinyi au wanataka kufanya showzap kwenye parking ya gari?
 

Attachments

  • fiesta tabora.jpg
    135.6 KB · Views: 433
Ingekuwa kinyume na hivyo inavyodaiwa mngesema Clouds ni wabaya kwa sababu wanataka kumharibia biashara huyo kibibi.

Lakini kwa vile sivyo mnashangilia. Mko wajinga sana nyinyi.

kenya ulikuwa unakaa sehemu gani??
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…