mugah di matheo
JF-Expert Member
- Jul 28, 2018
- 6,307
- 12,410
Ndugu wanajf tujiulizeni maswali kuwa taasisi ya FIFA ni chombo huru? au inafanya mambo yake chini ya taasisi zingine maana sielewi kabisa juu ya ufanyaji kazi wao , haaa linapokuja swala la utoaji tuzo za uchezaji bora ni kama hawatumii common sense (wanaziba maskio) wanaacha watu bora wanakuja na mess na Ronaldo kila siku je nan anayewapangia?