M Magehema JF-Expert Member Joined Aug 11, 2008 Posts 428 Reaction score 28 Oct 8, 2010 #1 Kwa mara ya kwanza FIFA wametoa kauli kupinga RAFU za kijinga zinazotishia career za wachezaji wa mpira wa miguu. Kuna baadhi ya mameneja wa timu kubwa wamekuwa wakilalamikia RAFU zisizokuwa na kichwa wala miguu wakabezwa!
Kwa mara ya kwanza FIFA wametoa kauli kupinga RAFU za kijinga zinazotishia career za wachezaji wa mpira wa miguu. Kuna baadhi ya mameneja wa timu kubwa wamekuwa wakilalamikia RAFU zisizokuwa na kichwa wala miguu wakabezwa!