FIFA yabadili tarehe ya Kombe Dunia 2022

FIFA yabadili tarehe ya Kombe Dunia 2022

Mphamvu

JF-Expert Member
Joined
Jan 28, 2011
Posts
10,702
Reaction score
3,319
Shirikisho la soka Duniani, FIFA limethibitisha rasmi mabadiliko ya muda wa kuchezwa kwa Kombe la Dunia la mwaka 2022 litakalofanyika nchini Katar.

Mabadiliko hayo ni kuhamisha tarehe ya kuchezwa kwa mashindano hayo kutoka Juni-Julai na badala yake litachezwa mwezi Novemba - Desemba mwaka huo.

Hatua hiyo ya FIFA imekuwa baada ya Shirikisho la Mpira wa Miguu barani Ulaya kushinikiza mabadiliko hayo ili kupisha kipindi cha joto kali cha mwezi Juni huko Katar.

=============
=============

A Fifa taskforce recommended last month that the tournament should be switched from summer to winter.The decision to hold the final on 18 December means Britain's traditional Boxing Day club matches on 26 December can still take place.

Walter De Gregorio, Fifa's director of communications, confirmed the 2022 World Cup would begin in November and finish on 18 December.

"Yes, we are going to play in November and December," he said. "And yes, the final is going to be played on 18 December. It's a Sunday and it's also the national day of Qatar."

The decision to move the 2022 World Cup from its traditional June and July slot was taken because of health concerns for players.

Summer temperatures in Qatar can exceed 40C.

Fifa also indicated that the 2022 World Cup could be shortened to 28 days. It normally lasts for 31 or 32 days.

Uefa, the body that governs European football, had pushed for the final to be as late as 23 December.

However, that option attracted opposition from Fifa members, who feared it would cause problems for fans and players getting home in time for Christmas, as well as affecting club football's festive programme.

Chanzo: BBC
 
Back
Top Bottom