Mkalukungone mwamba
JF-Expert Member
- Aug 29, 2022
- 862
- 1,755
hahahaha umemsaidiaTofautisha Congo DRC na Congo Brazzavile. Waliofungiwa ni Congo Brazavile sio Congo DRC ya kina Mayele
Uonevu tu..soka halijaua raia yeyote tokea machafuko yaanze..wangefungia silaha zote ningejua hawafikiri kwa kutumia utumbo mwembamba!Shirikisho la soka Duniani FIFA limetangaza rasmi kuifungia Congo DR uanachama wake kwa muda usijulikana kutokana na machafuko ya kisiasa yanayoendelea nchini humo na kusababisha vifo.
Kwa maana hiyo Congo DR timu yao ya Taifa, Vilabu vyao na Viongozi wao hawataruhusiwa kushiriki michezo yoyote ya Kimataifa (CHAN, AFCON, CAFCL, CAFCC, Kombe la Dunia) hadi adhabu hiyo itakapoondolewa.
View attachment 3227286
we ni ndugu yake eric mandala?hahahaha umemsaidia
Iliyofungiwa ni Congo Brazzaville na siyo kwa sababu ya machafukoShirikisho la soka Duniani FIFA limetangaza rasmi kuifungia Congo DR uanachama wake kwa muda usijulikana kutokana na machafuko ya kisiasa yanayoendelea nchini humo na kusababisha vifo.
Kwa maana hiyo Congo DR timu yao ya Taifa, Vilabu vyao na Viongozi wao hawataruhusiwa kushiriki michezo yoyote ya Kimataifa (CHAN, AFCON, CAFCL, CAFCC, Kombe la Dunia) hadi adhabu hiyo itakapoondolewa.
View attachment 3227286
TFF tena?Ni Congo Brazzaville sababu ni serikali kuingilia mambo ya uongozi wa TFF yao
We ni mgumu sana kuelewa... 'TFF' ya Congo Brazzaville.TFF tena?
Wew ndio huelewi hata ulichokiandika.We ni mgumu sana kuelewa... 'TFF' ya Congo Brazzaville.
HayaWew ndio huelewi hata ulichokiandika.
Inashangaza sana...FIFA wamekurupuka
Kwani wakongomani ndo wanayataka machafuko au waasi ndo wanavamia Congo DR
Mbona hawajafungia Nigeria, Cameroon, Ivory Coast, Ukraine,
Nadhani wanewaonea, sioni sababu ya kuwafungia, Sudan Ibenge anazurura tu na timu yao japo kuna vita
Ubongo wako unaload taratibu sanaWew ndio huelewi hata ulichokiandika.
Ukraine hawajafungiwa?Shirikisho la soka Duniani FIFA limetangaza rasmi kuifungia Congo DR uanachama wake kwa muda usijulikana kutokana na machafuko ya kisiasa yanayoendelea nchini humo na kusababisha vifo.
Kwa maana hiyo Congo DR timu yao ya Taifa, Vilabu vyao na Viongozi wao hawataruhusiwa kushiriki michezo yoyote ya Kimataifa (CHAN, AFCON, CAFCL, CAFCC, Kombe la Dunia) hadi adhabu hiyo itakapoondolewa.
View attachment 3227286
Wewe ni "much know".Ubongo wako unaload taratibu sana