Miss Zomboko
JF-Expert Member
- May 18, 2014
- 4,599
- 9,532
Shirikisho la soka duniani FIFA, linaongoza kikao kwa njia ya mtandao, kujadili uwezekano wa kipindi cha kufanyika kwa kombe la dunia, kubadilishwa kutoka baada miaka minne hadi miwili.
Wakuu wa soka kutoka nchi 211 wanashiriki katika mkutano huo, utakaangozwa na rais wa FIFA Gianni Infatino.
Infatinno, akizungumza mwezi Novemba jijini Cairo, alipohudhuria mkutano mkuu wa Shirikisho la soka barani Afrika alisema wanaopinga mpango huo, wanaogopa mabadiliko katika mchezo huo.
Tayari CAF imesema inaunga mkono mabadiliko hayo, lakini mashirikisho ya soka barani Ulaya na Kusini mwa America, yanapinga kwa kile ambacho wakuu wa soka katika mashirikisho hayo wanaona, mpango huo utarudisha nyuma maendeleo ya soka na kuathiri mashindano mbalimbaki katika bara hilo.
RFI Swahili
Wakuu wa soka kutoka nchi 211 wanashiriki katika mkutano huo, utakaangozwa na rais wa FIFA Gianni Infatino.
Infatinno, akizungumza mwezi Novemba jijini Cairo, alipohudhuria mkutano mkuu wa Shirikisho la soka barani Afrika alisema wanaopinga mpango huo, wanaogopa mabadiliko katika mchezo huo.
Tayari CAF imesema inaunga mkono mabadiliko hayo, lakini mashirikisho ya soka barani Ulaya na Kusini mwa America, yanapinga kwa kile ambacho wakuu wa soka katika mashirikisho hayo wanaona, mpango huo utarudisha nyuma maendeleo ya soka na kuathiri mashindano mbalimbaki katika bara hilo.
RFI Swahili