FIFA yampiga STOP kocha mpya wa Yanga kuifundisha

FIFA yampiga STOP kocha mpya wa Yanga kuifundisha

Mr Hero

JF-Expert Member
Joined
Jun 11, 2015
Posts
5,540
Reaction score
7,455
Imefahamika Shirikisho la Soka la duniani FIFA, limemzuia Kocha Mkuu mtarajiwa wa Yanga, Mzambia, George Lwandamina kusaini mkataba wa kukinoa kikosi hicho huku akitimkia kwao jana usiku. Mzambia huyo mwenye mkataba na Klabu ya Zesco Utd ya Zambia, alitua nchini hivi karibuni kwa ajili ya kusaini mkataba wa kuifundisha Yanga akichukua nafasi ya Mholanzi, Hans van Pluijm aliyeusitisha mkataba wake wa mwaka mmoja wa kuendelea kukinoa kikosi hicho. [ 299 more words ]

http://dar24.com/siri-za-yanga-na-george-lwandamina-zaende…/

 
Back
Top Bottom