FIFA yatangaza kuifungia Geita Gold kusajili hadi itakapomlipa Kocha Ndayiragije

FIFA yatangaza kuifungia Geita Gold kusajili hadi itakapomlipa Kocha Ndayiragije

JanguKamaJangu

JF-Expert Member
Joined
Feb 7, 2022
Posts
2,780
Reaction score
6,607
Shirikisho la Mpira wa Miguu Dunia (FIFA) limeifungia Klabu ya Geita Gold inayoshiriki Ligi Kuu Tanzania Bara, kutosajili wachezaji mpaka itakapomlipa fidia aliyekuwa kocha wao, Mkuu Ettiene Ndayiragije, mara baada ya kuvunja nae mkataba.
FWBfXOXWIAc2taL.jpg

FWBfXOeXgAMqCWK.jpg
 
Haina shida acha tupigwe tu, maana tumezidi kuokoteza huko nje makocha na wachezaji wa kubabaisha ili hali akina baba Isaya wapo na viwango vyao kila mmoja anaviona na vinapimika.
Wakati mwingine hata timu za Kariakoo huwa sioni umhimu wa kuokota akina Pablo ili hali wana uwezo wa kupeleka akina Matola shule kupata leseni inayokidhi matakwa ya CAF.
Ninakumbuka mwaka juzi TP Mazembe walimpeleka kocha wao akaongeze shule wakati huku kila siku sisi tunapigana vikumbo kutafuta watu wa mataifa mengine
 
Na nyinyi timu ndogo ndogo kama Geita Gold, Biashara United, nk. Wakati mwingine acheni kuwaiga tembo (Yanga, simba na Azam) kufanya mambo ambayo yako juu ya uwezo wenu.

Ona sasa mateso mnayopitia.
 
Haina shida acha tupigwe tu, maana tumezidi kuokoteza huko nje makocha na wachezaji wa kubabaisha ili hali akina baba Isaya wapo na viwango vyao kila mmoja anaviona na vinapimika.
Wakati mwingine hata timu za Kariakoo huwa sioni umhimu wa kuokota akina Pablo ili hali wana uwezo wa kupeleka akina Matola shule kupata leseni inayokidhi matakwa ya CAF.
Ninakumbuka mwaka juzi TP Mazembe walimpeleka kocha wao akaongeze shule wakati huku kila siku sisi tunapigana vikumbo kutafuta watu wa mataifa mengine
Makocha wazawa kina Julio ambaye mpaka sasa haamini Yanga ni bingwa
 
Makocha wazawa kina Julio ambaye mpaka sasa haamini Yanga ni
Na nyinyi timu ndogo ndogo kama Geita Gold, Biashara United, nk. Wakati mwingine acheni kuwaiga tembo (Yanga, simba na Azam) kufanya mambo ambayo yako juu ya uwezo wenu.

Ona sasa mateso mnayopitia.
Minziro aliwapandisha daraja wakamweka bench Leo huyo huyo ndo anaisaidia timu kumaliza kwenye nne bora... Makocha wazawa wapewe nafas
 
Makocha wazawa kina Julio ambaye mpaka sasa haamini Yanga ni bingwa
Akili ya Julio inafanana kabisa na ile ya Alexender Mnyeti. Yaani wamegoma kabisa kuficha chuki zao dhidi ya Yanga, kiasi cha kuonekana ni kituko mbele ya jamii.
 
Na nyinyi timu ndogo ndogo kama Geita Gold, Biashara United, nk. Wakati mwingine acheni kuwaiga tembo (Yanga, simba na Azam) kufanya mambo ambayo yako juu ya uwezo wenu.

Ona sasa mateso mnayopitia.
Majinga sana.
Si walikuwa na Minziro aliyewapandisha daraja nadhani walimtosa ndio wakamchukua huyo aliyeqashitaki
 
Makocha wazawa kina Julio ambaye mpaka sasa haamini Yanga ni bingwa
Makocha mbona wapo wengi tuu, juzi naibu waziri wa michezo sii amesema kuwa kuna makocha wengi tuu wenye leseni A ya caf nchini na sifa hiyo inawawezesha fundisha nje ya nchi
 
Back
Top Bottom