FIFAWorldCup2022: Ubelgiji chaliiiii yapigwa 2-0 na Morocco

FIFAWorldCup2022: Ubelgiji chaliiiii yapigwa 2-0 na Morocco

JanguKamaJangu

JF-Expert Member
Joined
Feb 7, 2022
Posts
2,780
Reaction score
6,607
Magoli ya kiungo mshambuliaji Abdelhamid Sabiri anayeichezea Sampdoria ya Italia na Zakaria Aboukhlal wa Toulouse ya Italia yameipa ushindi #Morocco na kuweka matumaini ya kufuzu Hatua ya Mtoano kutoka katika Kundi F.

Morocco ambayo ni timu ya pili ya Afrika kupata ushindi katika michuano hiyo baada ya #Senegal, imefikisha pointi 4 katika mechi mbili ikisaliwa na mchezo mmoja dhidi ya Canada.
 
Wamecheza kwa ari ya juu sana hivyo ushindi ni zawadi ya mapambano yao
 
Well done Morocco for playing the attacking football throughout the match, a strategy that paid the dividends.

Let other African sides borrow a leaf 🌿 from Morocco's brilliant display of the attacking football and I hope they will do the same and prevail in their last match against Canada so as to qualify for the round of 16 for the second time.
 
Back
Top Bottom