Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Shafii alionya nini ?Shafii dauda alimuonya hakuskia cha Moto amekipata Ila kama ni kiki amepata amekipata maana kwa sasa yeye ndo anaongelewa karbu media zote
kwanini akatwe ?Sasa yeye kwa akili zake alijua atapita😂😂
Anaanza kuomba huruma kwetu kwani tulimtuma😀😀😀😀😀
Sikutegemea ili jibu kutoka kwako Mkuukwanini akatwe ?
Si jibu ni swaliSikutegemea ili jibu kutoka kwako Mkuu
Amerudisha fomu bila kusainiwa na mdhamini yoyotekwanini akatwe ?
Huo ni mtego mbaya sana kwa TFF , usidhani hizi fomu watu walichukua kibwegeAmerudisha fomu bila kusainiwa na mdhamini yoyote
Mtego gani wakati kanuni na sheria ziko wazi hajakizi kigezo cha kuwa na wadhamini ameenguliwaHuo ni mtego mbaya sana kwa TFF , usidhani hizi fomu watu walichukua kibwege
Nami nilishangaa!Amerudisha fomu bila kusainiwa na mdhamini yoyote
Na hajakuomba wewe sema shobo zako tuSasa yeye kwa akili zake alijua atapita[emoji23][emoji23]
Anaanza kuomba huruma kwetu kwani tulimtuma[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Na hajakuomba wewe sema shobo zako tu
Mkuu,Soka la bongo mpaka taasisi zake ndivyo zilivyo...