Figo ya nguruwe yaonesha ufanisi katika mwili wa Binadamu

Kumbe MY WETU wanamchukia bure tu, ona sasa anatibu hadi figo.
Naogopa tu hili lisipelekee MY WETU akapanda bei, mambo yakawa magumu.
 
Nguruwe kashinda vita.
Hivi sisi tunaye mfuga tunge mwamini huyo mtu leo hii tungetibiwa vipi ini?

Maana angetoweka hapa duniani.

Sasa waanze kufuga. Mimi sitoi kiungo cha Nguruwe wangu kwa wanao mpiga vita. [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…