fikira pevu sasa naingia.

fikira pevu sasa naingia.

LEO MWITA

Member
Joined
Sep 4, 2013
Posts
25
Reaction score
1
jukwaa hili inasemekana ni kwa watu wenye hoja,uweledi na mitazamo chanya katika jamii.lakini kwa siku za hivi karibuni jukwaa limepungukiwa hizo sifa kwa kiwango cha kutisha.naomba wana jamvi wenzangu turudi kwenye malengo makuu ya kuanzishwa kwa jukwaa hili.naomba ushirikiano wenu na nawatakia kila lilojema.leo
 
LB7 ndo tatizo,nalifananisha jukwaa hili na msafara wa mamba uliovamiwa na mijusi.VIJANA TUMIENI MUDA WENU KUJADILI MAMBO YA MSINGI,MBONA YAPO MENGI TU KAMA VILE AJIRA,MADAWA YA KULEVYA,MAUAJI NA UTESAJI WA RAIA,UJANGILI,RUSHWA,KUPOROMOKA KWA ELIMU NCHINI,HUDUMA DUNI ZA KIJAMII,UFISADI NA WIZI WA MALI ZA UMMA,MATUMIZI MABAYA YA RASLIMALI NA MADARAKA,KATIBA MPYA. mbona yapo mengi tu ya kujadili? au njaa ya matumbo ndo tatizo? VIJANA JITAMBUENI!
 
Back
Top Bottom