Ngalikihinja
JF-Expert Member
- Sep 1, 2009
- 33,643
- 36,090
yupo wizara ya kilimo...dodoma
hivi wana JF, nani anajuwa Fikiri Madinda yuko wapi na ana hali gani kwa sasa? Na anafanya shughuri gani kwa sasa? Na wakati anapaishwa na bendi za muziki ilikuwaje? Dunia hadaa ulimwengu shujaa
Jamaa ni Dereva wa Wizara ya kilimo ni mtu wa kawaida tu tangu zaman sema shobo za wasanii ndo zikampaisha
Ni dereva, alikuwa anafanya kazi wizara ya KilimoNi afisa kilimo au ana wadhifa gani?
Ni afisa kilimo au ana wadhifa gani?
Bado ni dereva pale...Yah Mtazamo upo sahihi, jamaa enzi zile alikuwa dereva wizara ya kilimo, sasa hivi sijui km bd yupo huko