Mimi pia najiuliza swali hilo hilo, mbona wanaonekana wanateseka kwa kitu wanachoamini kuwa hakiwezi kutokeaMbona naona wewe unateseka sana kuliko hao makamanda ??
Thread ya ngapi hii ??
Nchi hii ina watu milioni 60 lakini mijitu imekomaa CHADEMA CHADEMA CHADEMA CHADEMA CHADEMA CHADEMA.
Kweli Mibongo ni mibongo tu.
Takataka
Hapo kwenye "uwepo wa vyama vingi katika mazingira ya kisheria yanayopendelea chama tawala," siyo kweli. Vyama vya upinzani ndivyo vinavyopendelewa na mifumo & sheria -- Bob Amsterdam, wakili international wa Mr Mzungu, Amnesty International, "Yuman" Rights Watch, ICC, EU, Marekani, Mike Pompeo, David MacAllister, Ubalozi wa Ujerumani na US, Shangazi, Maria Sarungi, Kigogo2014, Lazaro Nyalandu, Shekhe Ponda na yuleee Baba Askofu na wengine baadhi wasiojua maana ya uzalendo.Maoni yako ni sahihi kabisa.
1. Ili mashtaka yawe na uzito ICC ni lazima yawe na sifa ya kuwa 'serious concern for Int' community'. Sasa hawa wanaoshabikia ICC wapime haya wanayoyaita uhalifu kama yanafit mzania huo. Wajiulize pia kwanini mabalozi wote walitoa wito wa 'mamlaka za nchi kushughulikia'. Jambo la Muhimu kukosekana kwa muitikio wa watz kwenye maandamano iliepusha mtego wa 'matumizi ya nguvu za dola' ambao ungetengeneza mazingira ya serious crime against humanity-ambalo ndio wangeshtakiwa nalo kina siro. Ndio maana Lissu alikuwa na wimbo wa kuingiza watu barabarani.
2. CDM & ACT are solving the wrong problem. Tatizo sahihi ni 'uwepo wa vyama vingi katika mazingira ya kisheria yanayopendelea chama tawala'. Zama za CCM 'kula na kipofu' kwa kuwaachia upinzani baadhi ya majimbo, hazipo, walipaswa kulisoma hili 2019 kwenye LG election(ambao kimsingi hutoa uelekeo wa G Election). Kuendelea kulobby kwenye corridors za int' agencies is to solve a wrong problem.
Sasa nawe inakuhusu nini???Kama Jiwe hatapelekwa huko wewe unaumia nini? Pili anayepangwa kupelekwa ni Jiwe na wala siyo wewe so kufanikiwa au kufeli kwa Jambo hilo sidhani kama lina uhusiano na wewe.
And you cannot just manipulate the law to suit your bleak agenda!Nobody is above the law!
CHADEMA imemkana! Sijui unatoa wapi nguvu ya hoja hii!Ufipa ndio kumetoa mbunge mmoja wa CHADEMA, mtapigwa sana spana
Mkuu hujui kuwa katiba hairuhusu mkulu kushitakiwa ndo yupo juu hivoNobody is above the law!
Unachofanya ni uchochezi, tena sio wakati wakeHahahaa.
Jamaa ni viazi sana.
Kwani CCM hamuwezi kuleta katiba mpya?Au katiba mpya ni kwa ajili ya Chadema?Sikuzote nasema chadema wanaongozwa na mihemko hivi siku wakataeni viongozi mje na ajenda za katiba mpya sizani kama kuna ccm ambaye hataunga mkono
Wasinge mpokea kama mfalme, labda Chama lakini Mkulu kwao wanamkubali na wamembeba.Wewe huelewi kitu. Huko ulikotaja hilo lichama la kikoloni halitakiwi kabsaa. Fanya utafiti kidogo ulete mrejesho
Sijaaminishwa mkuu, huko ni nyumbani nafahamu ninachosemaUsiaminishwe uongo akaukabali bila kujuwa maswali elimishI
Hapana mimi ni Mtanzania na mpiga kura. Naambiwa haki yangu ya kura halali ilikuwa substituated na kura za kwenye mabegi meusi. By the way are you a member of praising team from Lumumba FC??Wewe ni nyumbu?
Utajuaje kuwa hakiwezekani bila kujaribu?Si makamanda wote wa chadema tunawaza hivyo, kuna ambao tunajielewa hatuwezi kuwaza ujinga kama huo.
Mimi nipo tofauti na wao, na hili tatizo la kutamani yasiyowezekana limefika hadi kwa viongozi wakuu wa chama.
Lumumba FC ni timu ya mpira wa miguu?Hapana mimi ni Mtanzania na mpiga kura. Naambiwa haki yangu ya kura halali ilikuwa substituated na kura za kwenye mabegi meusi. By the way are you a member of praising team from Lumumba FC??
Hapana. Huwajui? mbona ni jamaa zako sana mahaba niue wa awamu bora kabisa ya Tano.Lumumba FC ni timu ya mpira wa miguu?
Nyani Marekani ni mmeba mabox huku kumbe ulirudi kusaidia kubeba mabox ya kura sa wizi kumsaidia Wanyumbani....
Mitano tenaMakamanda wamechanganyikiwa.
Hawajui kama wanaenda au wanakuja.
Sasa sikilizeni nyie makamanda [ingawa najua hamna uwezo mkubwa wa kufikiri kwa kutumia akili, lakini jitahidini kuelewa].
Ni hivi:
Rais Magufuli hatofikishwa huko kwenye mahakama ya kimataifa ya jinai.
Hatofikishwa kwa sababu hakuna sababu yoyote ile ya msingi, inayolazimu yeye kufikishwa huko na kushitakiwa.
Hizi kelele mnazopigishwa na huyo mgombea wenu wa 2025, Bob Amsterdam, ni fikra/ mawazo tamanifu tu.
Sina hakika kama mnalitambua hilo. Kwamba, hawezi kufikishwa huko.
Natambua ni kiasi gani fikra/ mawazo tamanifu [wishful thinking] yanavyoweza kumpa mtu faraja ya muda mfupi pindi apitiapo kipindi kigumu cha maumivu ya kihisia na kiakili.
Mawazo hayo tamanifu hutoa hifadhi ya faraja.
Na ndo maana mnapoona au mnaposikia sijui mwanaharakati gani wa Twitter amepeleka barua au sijui ushahidi huko kwenye hiyo mahakama ya kimataifa ya masuala ya jinai, mnafurahi, mnachekelea, bila hata kuangalia na kupima uhasilia na mwelekeo wa kile mnachokitaka, kutokea.
Mtu yeyote anaweza kutangaza kumshitaki yeyote yule au chochote kile, popote pale. Ukweli huo nadhani hamuuzingatii kwa uzito na u maanani unaostahili.
Licha ya kwamba Tanzania tuna matukio ya hapa na pale ya ukiukwaji wa haki za kibinadamu, bado hatujafikia viwango vya kushitakiwa rasmi kwenye hiyo mahakama.
Najua nyie makamanda huwa hampendi kuambiwa ukweli. Mnachokipenda ni maneno ya kufarijiana tu mpaka uchaguzi ujao.
Na uchaguzi ujao ukifika, haya ya 2020 mtakuwa mshayasahau kama ambavyo mmeyasahau yote ya 2015, 2010, 2005, 2000, na 1995.
Hivyo endeleeni kuota ndoto za mchana. Si Raisi Magufuli, Da Samia, Bw. Majaliwa, au Kamanda Sirro atayetiwa pingu na kupelekwa Uholanzi kusomewa mashitaka.
Najua mnapitia kipindi kigumu sana. Hivyo nawaelewa. Nazielewa fikra zenu tamanifu mlonazo.
Na ni fikra tu. Siyo uhalisia wala mwelekeo wa matukio ya kiuhalisia.