Fikra za getho part 1

Fikra za getho part 1

kanyela mumo

JF-Expert Member
Joined
Jun 16, 2016
Posts
2,034
Reaction score
2,117
Poleni sana WaTZ wenzangu kwa yote Mungu ni mwema kila wakati, Binafsi nazingatia ya Wizara ya Afya.. Japo nakula sana cha A town no Church, Maombi kila sehemu mpaka kwenye Daladala chooni nikiwa nakata Gooooo goooo usirudi nyuma kuwa Makini Afya ni yako na chaguo ni lako..

Fikra za geto na cha A town nimekula nikapulizaa kiporo cha Wali maharage one two za kutosha mara deep c kiwango cha Wasafi fm mixer Kaaaamasutra.. mara paaap gheto kelele za zisizo eleweka amini jomba kumbe ni Panyaaa kitu nacho puliza kimewabust vichwa wanaona kama Ghetto Father sipo..

Wanacheka wanazunguka Ghetto kama Taxi... nimeenjoy sana kuona Mswepeso unakiwasha kichwani kwangu na kwa Panyazi wote tuna feel so HIGH LEVEL.

Peace & Love kwa wotee mwanangu MASK UKIWA NJEE YA HOME pamoja sana.
 
Mkuu mbona sisi bangi zaidi ya robo karne lakini hizo level zakiboya atujafikia nyie mnavutaga bangi gani mnaosizi hivyo bangi kama imekushinda usiforce hacha tuvute wachache.
 
mkuu mbona sisi bangi zaidi ya robo karne lakini hizo level zakiboya atujafikia nyie mnavutaga bangi gani mnaosizi hivyo bangi kama imekushinda usiforce hacha tuvute wachache.
Mkuu huwezi kuamini nimechukua video kabisa, tena wame sokotana mbele yangu Big.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Poleni sana WaTZ wenzangu kwa yote Mungu ni mwema kila wakati, Binafsi nazingatia ya Wizara ya Afya.. Japo nakula sana cha A town no Church, Maombi kila sehemu mpaka kwenye Daladala chooni nikiwa nakata Gooooo goooo usirudi nyuma kuwa Makini Afya ni yako na chaguo ni lako..

Fikra za geto na cha A town nimekula nikapulizaa kiporo cha Wali maharage one two za kutosha mara deep c kiwango cha Wasafi fm mixer Kaaaamasutra.. mara paaap gheto kelele za zisizo eleweka amini jomba kumbe ni Panyaaa kitu nacho puliza kimewabust vichwa wanaona kama Ghetto Father sipo..

Wanacheka wanazunguka Ghetto kama Taxi...nimeenjoy sana kuona Mswepeso unakiwasha kichwani kwangu na kwa Panyaz wote tuna feel so HIGH LEVEL.

Peace & Love kwa wotee mwanangu MASK UKIWA NJEE YA HOME pamoja sana.

Sent using Jamii Forums mobile app
hongera BAVICHA,ulimwona na kamanda ushuzi wa anga?

CCM DAMUDAMU!!!,CHAMA CHA MAMA &BABA
 
Write your reply...mwaka wa 10 huu navuta cha arusha huku ngaresero na Niko fiti Niko gado na naitumikia vizuri katika jamii vizuri tu bila kikwazo katika jamii miongoni mwa jamii husika bila kikwazo

.we ndo unafanya watumiaji mmea tuonekane waajabu .
waajabu wanatudharua watu
 
Back
Top Bottom