Chamoto
JF-Expert Member
- Dec 7, 2007
- 8,577
- 18,774
Kabla ya mashindano makubwa ya mpira wa miguu kama UEFA au kombe la dunia kuanza, vyombo vya habari vya Uingeraza huongea sana kuhusu timu yao. Wakianza kuwasifia wachezaji wao utaamini kabisa kuwa mwaka huu hakuna timu itawafunga.
Na kwa kweli kama ushindi ungekuwa kwenye media basi Uingereza ingekuwa inashinda kila siku. Cha ajabu ni kuwa mashindano yakianza Uingereza huwa timu ya mwanzo mwanzo kutolewa.
Tabia hii ya Waingereza ya kujisifu sifu sana, kama mbwa anayebweka bweka bila meno imewaathiri sana wakenya. Kuanzia "koko" (babu) yao Njonjo mpaka vitukuu vyao sasa, ni kelele tuu wakati hamna kitu.
Utamkuta Mkenya anasema "sisi tuko na ghorofa mrefu East Afrika" wakati ukiliangalia jengo lenyewe unaona ni kiandunje fulani hivi kinachosaidiwa na Mnara.
Kwenye utalii watapiga kelele wakati mapato yao hata $1.4 billion hayafiki, kwenye uchumi watasema wana GDP kubwa huku watu wanakufa na njaa na ukiangalia "GDP to debt ratio" yao unaweza hata kupawa na ugonjwa wa moyo.
Kwenye jeshi ni hivyo hivyo kelele "mingi" lakini Alshabab wanakuja wanawachapa bakora na kuondoka bila wao kuwafanya kitu.
Jamani, ondokaneni na akili za wakoloni "wenyu" wenye kelele "mingi" kwa media lakini timu yao ni kichwa cha mwenda wa zimu Ulaya.
Mjitathmini ni wapi mnakosea kama nchi siyo kujitapatapa bila sababu, wenzenu ndo tunawaacha hivyo.
Na kwa kweli kama ushindi ungekuwa kwenye media basi Uingereza ingekuwa inashinda kila siku. Cha ajabu ni kuwa mashindano yakianza Uingereza huwa timu ya mwanzo mwanzo kutolewa.
Tabia hii ya Waingereza ya kujisifu sifu sana, kama mbwa anayebweka bweka bila meno imewaathiri sana wakenya. Kuanzia "koko" (babu) yao Njonjo mpaka vitukuu vyao sasa, ni kelele tuu wakati hamna kitu.
Utamkuta Mkenya anasema "sisi tuko na ghorofa mrefu East Afrika" wakati ukiliangalia jengo lenyewe unaona ni kiandunje fulani hivi kinachosaidiwa na Mnara.
Kwenye utalii watapiga kelele wakati mapato yao hata $1.4 billion hayafiki, kwenye uchumi watasema wana GDP kubwa huku watu wanakufa na njaa na ukiangalia "GDP to debt ratio" yao unaweza hata kupawa na ugonjwa wa moyo.
Kwenye jeshi ni hivyo hivyo kelele "mingi" lakini Alshabab wanakuja wanawachapa bakora na kuondoka bila wao kuwafanya kitu.
Jamani, ondokaneni na akili za wakoloni "wenyu" wenye kelele "mingi" kwa media lakini timu yao ni kichwa cha mwenda wa zimu Ulaya.
Mjitathmini ni wapi mnakosea kama nchi siyo kujitapatapa bila sababu, wenzenu ndo tunawaacha hivyo.