Fikra za kikoloni zina Waathiri wa Wakenya

Wewe kwani husomangi comments huku? Si ni juzi tu tumewaonyesha doctor to patient Ratio yenu ni kubwa mno kuiliko ya Kenya ama akili zako kama za ngiri?
Nenda Muhimbili ukapasuliwe moyo wewe kabla hauja pata heart attack.
 
Huo ni utaratibu wetu tuliojiwekea hata hao wanaochaguliwa ni smoke screen tuu, tulio hapa tunaona kinacho endelea. Wengi wa hao masenator hasa republicans wanachaguliwa kimabavu kwa kutumia gerrymandering.
Utaritibu wenu upi huo? Yote hayo mliachiwa na mkoloni, kutoka maRC, MaDC hadi kwenye mipaka ya wilaya na mikoa. Alafu mkoloni mweusi CCM akakumbatia hayo yote kwa mikono miwili na wala hamna mipango yeyote ya kujiandikia katiba yenu mpya kama watu wanaojielewa.
Katiba ipi iliandikwa na mkoloni?
Tz mlijiandikia lini katiba mpya? Usianze kunieleza kuhusu ammendments(marekebisho)
mliyoyafanya, baada ya muungano wa Tanganyika na Zanzibar, kwenye katiba mlioachiwa na mkoloni.
 
Kumbuka kwamba Tundu Lissu walimpaka vicks pekee yake kama huduma ya kwanza. 😀 Kisha wakamuandikia refferal ya kutibiwa Nairobi, na alikuwa na maumivu ya risasi mwilini sio cancer.
 
Kumbuka kwamba Tundu Lissu walimpaka vicks pekee yake kama huduma ya kwanza. 😀 Kisha wakamuandikia refferal ya kutibiwa Nairobi, na alikuwa na maumivu ya risasi mwilini sio cancer.
Hizo ni siasa za ndani huzielewi, Lissu alikataa kutibiwa na serikali.
 

Hapa naezalike mara mbili
 
Kumbuka kwamba Tundu Lissu walimpaka vicks pekee yake kama huduma ya kwanza. 😀 Kisha wakamuandikia refferal ya kutibiwa Nairobi, na alikuwa na maumivu ya risasi mwilini sio cancer.

Tihahahhaaaaa. Nimecheka pekee yangu. Ati walimpaka Vicks???
 
Hizo ni siasa za ndani huzielewi, Lissu alikataa kutibiwa na serikali.
Nimekuelewa boss, alikataa kutibiwa na serikali akiwa hali mahututi na hajielewi baada ya kupigwa risasi. Kwasababu serikali tukufu ya Tz ndio huwa inawatibu watz wote na hospitali zote Tz ni za GoT. Shukran.
 
Nimekuelewa boss, alikataa kutibiwa na serikali akiwa hali mahututi na hajielewi baada ya kupigwa risasi. Kwasababu serikali tukufu ya Tz ndio huwa inawatibu watz wote na hospitali zote Tz ni za GoT. Shukran.
We sikuhizi umekuwa mswahili sana.
 

JF ni eneo la Facts and Figures. Nikuombe ulete ushahidi wa Nr 4.
 
Leta evidence as far as I know Kenyan doctors got stripped their licences to practice!
 
Leta evidence as far as I know Kenyan doctors got stripped their licences to practice!

Yes, those who had the license but hadn't been practicing. Kumbe hata hujui nini ilifanyika. Sasa ungejuaje na huko kwenu Daktari wa kutoka Mbeya ni Daktari tu
 
Number 2,3,4,5,7 hakuna eneo mkenya anaipita Tanzania hapo, wewe kama umekalia habari za ufipa 24/7 sio kama mambo mengine hayaendelei Tanzania

Tanzania imepiga hatua kwenye hizo sector kuliko nchi yoyote Africa mashariki na kati
 
Umenikumbusha Slam za dondora...


Cc: mahondaw
 

Vipimo vipi labda?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…