Filam za kibongo

Filam za kibongo

pius mabula

Senior Member
Joined
Jul 2, 2012
Posts
196
Reaction score
26
Siku itapofika Watanzania watakapoanza kununua filam za kibongo kwa sababu ya Producer flani ka-produce hiyo movie au Director flani ka-Direct hiyo Movie ndo Film zetu zitaweza kuchukua hata tuzo za kimataifa, sizungumzii tuzo za Ziff na utoto mwingine kama huo, lakini kama tutaendelea kununua Movie zetu 7bu tu Ray, Wema au J B ndo wamecheza, tutaendelea kutizama Madudu kila siku.
 
Dah kaka umeongea jambo la maana sana,wabongo hawajui mtu anayefany kazi iwe nzuri ni director,yeye ndo anayemchezesha msanii jins anavyotak kulingana na stori yake
Story yake,utakuta film nzur mtu anaanza ooh jb au wema noma anasahau kuw kuna mtu aliyemfany akawa vile had watu wakamkubali,mfano mzuri nichukue kwa huyu mdada rose ndauka,hyu ni muigizaj pia anamilik kampun ya filam,movie zake nyingi anazocheza ni nzur kwa kiwango cha kawaida ila kuna movie inaitwa LOST ADAM aliyoigiza na jb,ki ukweli ile movie alicheza kwa kiwango cha juu sana,dah yan alionyesha makali yake aswaa had nikamfananish na mastaa wa nollywood akina yvonne na inni eddo,duh mtoto alichezeshea akachezeka,sasa apa utapat kujua kuwa wasanii sio wabovu au tatizo bali ni madirector,pia ukimwangalia aunt ezekiel movie zake nyingi ni za kawaida ila usiombe ile kaz aliyofany na marehemu kanumba YOUNG BILLIONAIRE utajua kuwa kweli wasanii wetu wakichezeshwa wanachezeka apa tatizo ni directing mbovu,akina ray nenden shule acheni kibabaisha bana...
 
Tatizo la Movie zetu nyingi linaanzia kwenye Story, Story ni mbovu, waandishi wa Script hawajui, ukisikia Movie ana-Produce Ray, Director atafata vile anavyotaka Ray, Director anaweza kuja na mawazo Mazuri lakini ataambiwa 'Mimi ndo mwenye Movie, utafanya nnavyotaka' mwisho wa siku Movie ikiingia Sokoni wadau wananunua 7bu Ray kacheza sio kwa Quality ya Movie
 
Hvi bongo napo kuna wacheza movies?
 
huwa siangalii uchafu huo unaotengenezwa hapa nyumbani tatizo elimu yao ndogo wa wamekaa ki bavichabavicha
 
Halafu ulishawahi kuona movie zao zinaishia part 1 pekee? Kituko sasa wanachokifanya ni kukatisha movie ktk part 1 na kuiendeleza pale ilipoishia ktk part 2.
 
Back
Top Bottom