Filamu gani ulioni ni mbovu na haumshauri mtu mwengine kuiangalia?

Filamu gani ulioni ni mbovu na haumshauri mtu mwengine kuiangalia?

Mjanja M1

JF-Expert Member
Joined
Oct 7, 2018
Posts
4,058
Reaction score
14,382
Kwenye pita pita zangu mtandaoni, Mjanja M1 nikakutana na post hii kutoka kwa 50 cent akiipigia chapuo Movie aliyoigiza na Mel Gibson.

Screenshot_20240724-192516.jpg

Mjanja M1 nikawasha Smart Tv yangu na kui-play online.

Lahaullah Walakuwata! Movie ni mbovu sijawahi ona, yani hata sikuimalizia nikai-cancel na kuchagua movie nyengine.

Kwako mdau, ni Movie gani mbovu haumshauri mtu mwengine kuiangalia?
 
Movie zote ni nzuri inategemea na mtu na mtu pia na mood gani uko nayo wakati unaangali ila kama haifai sana jua hukutengenezewa wewe waachie wengine wewe tafuta size yako

USSR
 
Movie zote ni nzuri inategemea na mtu na mtu pia na mood gani uko nayo wakati unaangali ila kama haifai sana jua hukutengenezewa wewe waachie wengine wewe tafuta size yako

USSR
Hii ni ukweli
 
Dhoom 3 ya amir khan
Mtu anatembea na pikipiki juu ya kamba😁.
Ila wahindi ni waongo
 
Nitaongelea series...

Sijawahi kuielewa Breaking Bad..

Nilifata mkumbo baada ya kuona inasifiwa sana humu ila ni moja kati ya ya series mbaya sana...
 
Back
Top Bottom