Teknocrat
JF-Expert Member
- Oct 20, 2018
- 4,967
- 11,056
Baada ya kuona Yule muuza silaha haramu nguli duniani Victor Bout ameachiwa na US, nikakumbuka ile docudrama ya Darwins Nightmare, filamu ya mapanki.
Ikabidi niitafute upya niiangalie baada ya miaka zaidi ya kumi.
Hivi wazee Mwanza , tupeni basi historia fupi ya kipindi kile, Mwanza kujishtukia ghafla na kuwa kati busiest Airport in East Africa nzima, kwa ili midude ya kirussia ilikuwa inatua pale ..Ilyushin II-76.
Kipindi kile maisha yaliwaje Mwanza , je mzunguko wa pese uliongezeka kulingana na sasa?
Na pia baada ya ile filamu kutembea nchi ulaya, nasikia wazungu wakapiga marufuku samaki wa sangara kwenye nchi zao, na kupelekea kushuka kwa soko la kimataifa. Kuharibia maisha ya watu Mwanza ambao walikuwa wanajishulisha kwenye biashara ya minofu ya sangara.
Je kulikuwa na athari za kiuchumi kwa mkoa wa Mwanza baada ile filamu?
Pia Jakaya, alilaani sana ule upotofu ulio unyeshwa akaanzisha ampeni. Ambayo ikapata sapoti ya wanahabari nguli duniani na wakaanzza kumshabulia yule muuandaji wa hii filamu kwa upotofu ulionyeshwa na kuleta taswira mbaya nchini.
Pia nasikia wale waliokuwa wanaonyeshwa kwenye hiyo filamu, walikuja kupewa kashkash na mapolisi kichizi na mpaka yule mwandishi aliyeunganisha doti za ndenge zinaleta silaha zitua na kupakia samaki zikiondoka, je ni kweli?
Tunawaomba mtupe ukweli kutoka nyie wenyewe wazawa wa Mwanza ?
Ikabidi niitafute upya niiangalie baada ya miaka zaidi ya kumi.
Hivi wazee Mwanza , tupeni basi historia fupi ya kipindi kile, Mwanza kujishtukia ghafla na kuwa kati busiest Airport in East Africa nzima, kwa ili midude ya kirussia ilikuwa inatua pale ..Ilyushin II-76.
Kipindi kile maisha yaliwaje Mwanza , je mzunguko wa pese uliongezeka kulingana na sasa?
Na pia baada ya ile filamu kutembea nchi ulaya, nasikia wazungu wakapiga marufuku samaki wa sangara kwenye nchi zao, na kupelekea kushuka kwa soko la kimataifa. Kuharibia maisha ya watu Mwanza ambao walikuwa wanajishulisha kwenye biashara ya minofu ya sangara.
Je kulikuwa na athari za kiuchumi kwa mkoa wa Mwanza baada ile filamu?
Pia Jakaya, alilaani sana ule upotofu ulio unyeshwa akaanzisha ampeni. Ambayo ikapata sapoti ya wanahabari nguli duniani na wakaanzza kumshabulia yule muuandaji wa hii filamu kwa upotofu ulionyeshwa na kuleta taswira mbaya nchini.
Pia nasikia wale waliokuwa wanaonyeshwa kwenye hiyo filamu, walikuja kupewa kashkash na mapolisi kichizi na mpaka yule mwandishi aliyeunganisha doti za ndenge zinaleta silaha zitua na kupakia samaki zikiondoka, je ni kweli?
Tunawaomba mtupe ukweli kutoka nyie wenyewe wazawa wa Mwanza ?