Mod mmeileta habari hii kwenye jukwaa la michezo kwa kigezo hafifu sana ya kwamba wametajwa viongozi wa michezo
Lakini habari haiongelei "mchezo"
Inaongelea UCHAGUZI WA TANZANIA OLYMPIC COMMITTEE
Inafuzu vigezo vya kuwa habari mchanganyiko.
Anayebisha anyooshe kidole.