Filikunjombe ni jembe

Filikunjombe ni jembe

Mmawia

JF-Expert Member
Joined
Aug 20, 2013
Posts
122,494
Reaction score
96,074
Wana jamvi kati ya wabunge ambao ni majembe na wanaweza kukubalika ktk bunge lolote hapa duniani ni MHESH, DEO FILIKUNJOMBE, mbunge wa ludewa.alikuwa mbunge wa 1 wa ccm kukataa kabisa maagizo ya ccm hadharani kwa kusema hapana....BIG UP MH, DEO .MUNGU AKUBALIKI NA UTAFIKA MBALI SANA.
 
Wana jamvi kati ya wabunge ambao ni majembe na wanaweza kukubalika ktk bunge lolote hapa duniani ni MHESH, DEO FILIKUNJOMBE, mbunge wa ludewa.alikuwa mbunge wa 1 wa ccm kukataa kabisa maagizo ya ccm hadharani kwa kusema hapana....BIG UP MH, DEO .MUNGU AKUBALIKI NA UTAFIKA MBALI SANA.

we unajielewa kweli wewe??
 
...big up mwana wa kunjombe...
 
Bora ufe umesimama kuliko kuishi umepiga magoti,hongera Filikunjombe umewakilisha wanaccm wengi wasio jitambua.
 
kiukweli hata mimi huyu mbunge namkubali sana😛izza:😛izza::flypig:
 
This is the first time in history, Bunge letu Maalum la Katiba linapiga kura kwa aina mbili kuunga mkono kanuni kituko cha mwaka kuliruhusu bunge hilo kupiga kura za siri na wazi kwa wakati mmoja!. Hiki sio tuu ni kioja cha mwaka bali pia ni kituko cha karne na kubwa kulio kumbe Wabunge Wasio Timamu kwenye Bunge hilo Maalum la Katiba Ni Wengi Kuliko Hata nilivyowadhania mwanzo!.

Mtu mzima mwenye akili zako timamu, unawezaje kupiga kura ya ndio kuusupport upuuzi huo?!. Angalau Deo Filikunjombe sii mmoja wa hawa wasio Timamu!

Kiukweli Mhe, Samuel Sitta amenidisapoint hakuna mfano!.I had very high hopes on him with great expectations, now, the Great man is hopeless and a total failure!.
Wote mliokuwa na matumaini ya kupatikana "Katiba Bora", subirieni "Bora Katiba!".

Uliona wapi kura ya siri mtu akatajwa jina?!.

NB. Kutokuwa Timamu, hakumaanishi ni vichaa au wana wazimu,insanity pia imo, imbecile pia imo, na sio vichaa wote ni mpaka waokote makopo!.
Pasco
 
wengi wanaopiga kura ya NDIYO wanaonekana kuburutwa kabisaa
 
This is a big shame to our democracy. Sita is a hopeless lawyer i ever seen
 
kumbe Wabunge Wasio Timamu kwenye Bunge hilo Maalum la Katiba Ni Wengi Kuliko Hata nilivyowadhania mwanzo!.

Angalau Deo Filikunjombe sii mmoja
NB. Kutokuwa Timamu, hakumaanishi ni vichaa au wana wazimu,insanity pia imo, imbecile pia imo, na sio vichaa wote ni mpaka waokote makopo!.
Pasco

Mkuu Pasco nimemsikia Edward Lowassa nae akisema ndiyoooo, kumbe nae ni imbecile, insane. Bado utaendelea kutushawishi tumpe kura yetu
 
Nasikia harufu ya ushu........zi. Wanna ukawa mbona mnaharibu Hali ya hewa!!!!!
Hapa ni za uso mwanzo mwisho. Mpaka mtoke manundu
 
This is the first time in history, Bunge letu Maalum la Katiba linapiga kura kwa aina mbili kuunga mkono kanuni kituko cha mwaka kuliruhusu bunge hilo kupiga kura za siri na wazi kwa wakati mmoja!. Hiki sio tuu ni kioja cha mwaka bali pia ni kituko cha karne na kubwa kulio kumbe Wabunge Wasio Timamu kwenye Bunge hilo Maalum la Katiba Ni Wengi Kuliko Hata nilivyowadhania mwanzo!.

Mtu mzima mwenye akili zako timamu, unawezaje kupiga kura ya ndio kuusupport upuuzi huo?!. Angalau Deo Filikunjombe sii mmoja wa hawa wasio Timamu!

Kiukweli Mhe, Samuel Sitta amenidisapoint hakuna mfano!.I had very high hopes on him with great expectations, now, the Great man is hopeless and a total failure!.
Wote mliokuwa na matumaini ya kupatikana "Katiba Bora", subirieni "Bora Katiba!".

Uliona wapi kura ya siri mtu akatajwa jina?!.

NB. Kutokuwa Timamu, hakumaanishi ni vichaa au wana wazimu,insanity pia imo, imbecile pia imo, na sio vichaa wote ni mpaka waokote makopo!.
Pasco
Pole kaka.......
Umemsikia mgonjwa wako LOWASSA!!!!!!!
 
Kwa watiifu wa ccm, yaani wasiyo jitambua hiki ni kitanzi kwao kwani ukienda kinyume na hapo unaonekana ni msaliti. Lakini Deo na lugola hao ni majembe nafikiri nizaidi ya wabunge magamba 200.
 
Shariti la jembe mpaka litiwe mpini nyuma ndo lifanye kazi je hii ni shh kumwita mtu jembe?
 
Wakifukuzwa mwakani warudi upinzani wachukue majimbo yao tena kama kumsukuma mlevi
 
Yale ya Mwanakijiji yanatimia soon, tumekubali mchakato haramu tuwe tayari kukubali matokeo yake
 
Back
Top Bottom