This is the first time in history, Bunge letu Maalum la Katiba linapiga kura kwa aina mbili kuunga mkono kanuni kituko cha mwaka kuliruhusu bunge hilo kupiga kura za siri na wazi kwa wakati mmoja!. Hiki sio tuu ni kioja cha mwaka bali pia ni kituko cha karne na kubwa kulio kumbe Wabunge Wasio Timamu kwenye Bunge hilo Maalum la Katiba Ni Wengi Kuliko Hata nilivyowadhania mwanzo!.
Mtu mzima mwenye akili zako timamu, unawezaje kupiga kura ya ndio kuusupport upuuzi huo?!. Angalau Deo Filikunjombe sii mmoja wa hawa wasio Timamu!
Kiukweli Mhe, Samuel Sitta amenidisapoint hakuna mfano!.I had very high hopes on him with great expectations, now, the Great man is hopeless and a total failure!.
Wote mliokuwa na matumaini ya kupatikana "Katiba Bora", subirieni "Bora Katiba!".
Uliona wapi kura ya siri mtu akatajwa jina?!.
NB. Kutokuwa Timamu, hakumaanishi ni vichaa au wana wazimu,insanity pia imo, imbecile pia imo, na sio vichaa wote ni mpaka waokote makopo!.
Pasco