Poppy Hatonn
JF-Expert Member
- Apr 9, 2021
- 3,095
- 4,632
Rais wa Msumbiji atafika kijijini Butiama leo.
Ataongozana na Katibu Mkuu wa CCM,Ndugu Emmanuel Nchimbi.
Mheshimiwa Rais ataongea na wanakijiji katika mkutano wa hadhara.
Ataongozana na Katibu Mkuu wa CCM,Ndugu Emmanuel Nchimbi.
Mheshimiwa Rais ataongea na wanakijiji katika mkutano wa hadhara.