Filamu za kibongo jina la kiingereza....filamu wametumia lugha ya kiswahili...utamaduni mixer ya marekani na Nigeria...
Tatizo la watanzania wanapenda kuiga vitu bila kufikiri. Kwa kweli hata mimi sipati picha kuweka sinema jina la kiingereza simulizi kwa kiswahili. Kwa kweli inabidi tujitahidi katika hili.:A S 39: