Hahahaha unadhani Sevilla hawakujua ana umuhimu kama alivyo sasa?
Nadhani anastahili kuja Chelsea kujiunga na "The Blues"
brazil
Utamu wa mpira utakwisha.hivi kwa nini hawana instant replay kwenye soka?
Si umeona replay lakini ile mkuu...??? Chuma kile....Teh teh teh teh,,, Obama tena?