VAR haifanyi kaziMe kwangu refa ndio chanzo kakataa goli Zuli,na VAR hataki kutumia.
VAR haifanyi kazi
Waarabu wameloga VARHaya mambo yapo Afrika tu sijui nani katuroga
Esperance bingwa[emoji23][emoji23] apo wamekutana wao kwa wao
Kwa mechi hii jinsi ilivoishaHivi hapa inplay betting inaamuliwaje jaman ??
Hakika umenena vema mkuuAfrica sijui tuna tatzo gani,final day et VAR imeharbka mechi ya kwanza VAR ilikwa nzima inapiga kaz,then huu mfumo wa finali kuchezwa mara mbili haufai hata kidogo n mazingira ya rushwa tu hapa yanaandaliwa,final ipigwe mara moja tu and not home and away tena ipigwe kwenye natural ground kabisa kama UEFA wanavyofanya,kwa mambo haya tukiitwa ulimwengu wa kumi n sawa tu.
Ulitaka kumaanisha neutral ground ndiyo maana mkubwa wetu hataki hii lughaAfrica sijui tuna tatzo gani,final day et VAR imeharbka mechi ya kwanza VAR ilikwa nzima inapiga kaz,then huu mfumo wa finali kuchezwa mara mbili haufai hata kidogo n mazingira ya rushwa tu hapa yanaandaliwa,final ipigwe mara moja tu and not home and away tena ipigwe kwenye natural ground kabisa kama UEFA wanavyofanya,kwa mambo haya tukiitwa ulimwengu wa kumi n sawa tu.
[emoji23][emoji23],ooh thank you mkuu kwa masahihishoUlitaka kumaanisha neutral ground ndiyo maana mkubwa wetu hataki hii lugha
Bora kabisaa kuwe na fainal moj basAfrica sijui tuna tatzo gani,final day et VAR imeharbka mechi ya kwanza VAR ilikwa nzima inapiga kaz,then huu mfumo wa finali kuchezwa mara mbili haufai hata kidogo n mazingira ya rushwa tu hapa yanaandaliwa,final ipigwe mara moja tu and not home and away tena ipigwe kwenye natural ground kabisa kama UEFA wanavyofanya,kwa mambo haya tukiitwa ulimwengu wa kumi n sawa tu.
Tusaidie iyo "neutral venue" kwa kiswahili inaitwaje? Ili asirudie kusema "natural ground"Ulitaka kumaanisha neutral ground ndiyo maana mkubwa wetu hataki hii lugha