wiseBravoooo!!!! wachache sana watakuelewa. hope tutaungana msimu ujao, pamoja na elimu itolewayo kuhusu uwekezaji wa muda mrefu watu bado wanatetemeka!! wakati mtu anaamka usingizini, atajikuta amechelewa sana. haijalishi una umri gani, time will tell.
Usidanganyike. Miti ni budhaa ambayo haitakaa iishe matumizi duniani. Nampa hongera ingawa ukweli ni kuwa faida ya miti haiji baada ya muda mfupi. Badala ya kuweka fedha benki unapeleka kwenye mashamba ya miti.Mkuu kuna mkubwa mmoja serikalini kaanzisha kiwanda cha nguzo za zege. Likatolewa ze tamko kwamba wanataka wasitishe ukataji miti ya nguzo ambayo ni uharibifu wa mazingira. Ukija upande wa pili maliasili nao wanakomalia sana kukata miti. Kuwa makini mkuu
Mungu akubariki sana Hongera sana kwa uthubutu wako huu,baadhi yetu ni waoga wa kuthubutu kufanya ,halafu ni wakwanza kulalama.Baada ya kuona fursa hii kupitia jukwaa hili nimeamua kuifanyia kazi.
Mwaka huu mwezi wa 8 nikasafiri kuja Iringa mji wa Mafinga nikafanya research na kugundua kweli kilimo hiki kinafanyika na mashamba yanapatikana!
Nikafanikiwa kupata Shamba ekari 5 maendeo ya Ifunda kwa 250,000@ garama za resekali ya kijiji ni 50,000. Kusafisha shamba ikanigharimu 150,000 maana lilikuwa na vichaka.
mwezi huu wa 12 nimefanikiwa kupanda ekari zote miche ya pine kwa gharama zifuatazo. Miche 2250 @sh 100(miche 450 kwa ekari 1) Gharama za wapandaji ni sh 60 kwa kila shimo moja. Mwakani Mungu akipenda Nina lengo la kupanda miche ya milingoti ambayo inawahi kuvunwa kabla ya pine.
Hii ni fursa nzuri kwa wale wenye malengo ya muda mrefu. karibuni
Mkuu hongera sana mimi pia nina shamba maeneo ya Itimbo ila changamoto kubwa ni moto ni majuzi tu shamba yangu imenusurika, nusura nife kwa kihoro maana miti ina miaka zaidi ya 13kilichonishangaza ni huku mufindi ndani ndani kuna hadi raia wa Kenya na Rwanda wamenunua mashamba makubwa na kupanda Miti huku watanzania tunaendelea kupiga soga kuwa hakuna ajira.
Karibu kwenye Uwekezaji huuBaada ya kuona fursa hii kupitia jukwaa hili nimeamua kuifanyia kazi.
Mwaka huu mwezi wa 8 nikasafiri kuja Iringa mji wa Mafinga nikafanya research na kugundua kweli kilimo hiki kinafanyika na mashamba yanapatikana!
Nikafanikiwa kupata Shamba ekari 5 maendeo ya Ifunda kwa 250,000@ garama za resekali ya kijiji ni 50,000. Kusafisha shamba ikanigharimu 150,000 maana lilikuwa na vichaka.
mwezi huu wa 12 nimefanikiwa kupanda ekari zote miche ya pine kwa gharama zifuatazo. Miche 2250 @sh 100(miche 450 kwa ekari 1) Gharama za wapandaji ni sh 60 kwa kila shimo moja. Mwakani Mungu akipenda Nina lengo la kupanda miche ya milingoti ambayo inawahi kuvunwa kabla ya pine.
Hii ni fursa nzuri kwa wale wenye malengo ya muda mrefu. karibuni
Nimependa avatar zenu, aliyeachama kaongea kitu ambacho aliyefumba mdomo kapinga. Naungana na aliyepinga. Miti inayozuiwa ni ile ya asili, siyo ya kupanda.Mkuu kuna mkubwa mmoja serikalini kaanzisha kiwanda cha nguzo za zege. Likatolewa ze tamko kwamba wanataka wasitishe ukataji miti ya nguzo ambayo ni uharibifu wa mazingira. Ukija upande wa pili maliasili nao wanakomalia sana kukata miti. Kuwa makini mkuu
Kuna miti ya biashara achana na hiyo ya uoto asili, miti kama pine, mikaratusi, mitiki n.k no miyi inayopandwa kwa ajili ya biashara na nikujuze tuu siyo kila mtu apandaye miti anataka kuuza nguzo, miti inatumika kitengeneza karatasi, furniture n.k acha uoga
pole mkuu maana ule moto wa Itimbo niliuona na uliunguza mashamba mengi sana ....cha msingi ni kuondoa woga na kuthubutu kufanya kituMkuu hongera sana mimi pia nina shamba maeneo ya Itimbo ila changamoto kubwa ni moto ni majuzi tu shamba yangu imenusurika, nusura nife kwa kihoro maana miti ina miaka zaidi ya 13
Hata angekuwa above 60, shida iko wapi? Kama mababu zetu wangekuwa na fikra kama zako tusingekuta kituSo uko Tayari kuvumilia miaka hiyo?
hope uko below 30.
Hongera broo ni kaz nzuri ..Baada ya kuona fursa hii kupitia jukwaa hili nimeamua kuifanyia kazi.
Mwaka huu mwezi wa 8 nikasafiri kuja Iringa mji wa Mafinga nikafanya research na kugundua kweli kilimo hiki kinafanyika na mashamba yanapatikana!
Nikafanikiwa kupata Shamba ekari 5 maendeo ya Ifunda kwa 250,000@ garama za resekali ya kijiji ni 50,000. Kusafisha shamba ikanigharimu 150,000 maana lilikuwa na vichaka.
mwezi huu wa 12 nimefanikiwa kupanda ekari zote miche ya pine kwa gharama zifuatazo. Miche 2250 @sh 100(miche 450 kwa ekari 1) Gharama za wapandaji ni sh 60 kwa kila shimo moja. Mwakani Mungu akipenda Nina lengo la kupanda miche ya milingoti ambayo inawahi kuvunwa kabla ya pine.
Hii ni fursa nzuri kwa wale wenye malengo ya muda mrefu. karibuni
na kupau nyumba watapaua kwa mbao za zege?Mkuu kuna mkubwa mmoja serikalini kaanzisha kiwanda cha nguzo za zege. Likatolewa ze tamko kwamba wanataka wasitishe ukataji miti ya nguzo ambayo ni uharibifu wa mazingira. Ukija upande wa pili maliasili nao wanakomalia sana kukata miti. Kuwa makini mkuu
na kinachotufanya tuendelee kuwa masikini ni ubinafsiHata angekuwa above 60, shida iko wapi? Kama mababu zetu wangekuwa na fikra kama zako tusingekuta kitu
Na kabla ya kuvuna anaweza akaweka mizinga ya nyukihiyo ni biashara nzuri sana after 10 years unaweza kuvuna ukauza kila mti kwa 15,000×2250 ni zaidi ya 337,000,000 ni bonge la uwekezaji halafu watu wanalia eti serikali serikali!ebooh kufa na tufe!
Hongera mkuu hivi umeiandaa kwa ajili ya urithi wa watoto au unategemea kuvuna wewe mwenyewe huku ukiwa na kibiongo?Baada ya kuona fursa hii kupitia jukwaa hili nimeamua kuifanyia kazi.
Mwaka huu mwezi wa 8 nikasafiri kuja Iringa mji wa Mafinga nikafanya research na kugundua kweli kilimo hiki kinafanyika na mashamba yanapatikana!
Nikafanikiwa kupata Shamba ekari 5 maendeo ya Ifunda kwa 250,000@ garama za resekali ya kijiji ni 50,000. Kusafisha shamba ikanigharimu 150,000 maana lilikuwa na vichaka.
mwezi huu wa 12 nimefanikiwa kupanda ekari zote miche ya pine kwa gharama zifuatazo. Miche 2250 @sh 100(miche 450 kwa ekari 1) Gharama za wapandaji ni sh 60 kwa kila shimo moja. Mwakani Mungu akipenda Nina lengo la kupanda miche ya milingoti ambayo inawahi kuvunwa kabla ya pine.
Hii ni fursa nzuri kwa wale wenye malengo ya muda mrefu. karibuni
itahitaji miaka 10 ifae kuvunwa. umri sio kigezo kuwa nitafaidi matunda yake coz kifo ni muda wowote bila kijali age. so long nahangaika si kwa ajili yangu tuu Bali hata wategemezi wangu wakiwemo watoto wakifaidi sio mbaya.Hongera mkuu hivi umeiandaa kwa ajili ya urithi wa watoto au unategemea kuvuna wewe mwenyewe huku ukiwa na kibiongo?
Shukran mkuu mi nshakata tamaa nna kamwembe dodo nyumbani kwangu mwaka wa Tatu huu kako palepale naona dalili ya kuja kuliwa na wajukuuitahitaji miaka 10 ifae kuvunwa. umri sio kigezo kuwa nitafaidi matunda yake coz kifo ni muda wowote bila kijali age. so long nahangaika si kwa ajili yangu tuu Bali hata wategemezi wangu wakiwemo watoto wakifaidi sio mbaya.
mkuu nazungumzia Miti ya kisasa kama pine na eucalyptus (milingoti) ambayo inatumia muda mfupi kukomaa sio ya asili...... kama milingoti ndani ya miaka 5 unaweza kuvuna mirunda au nguzo! so far unaweza kupanda Miti kwa garama ya sh 350,000 kwa ekari Baada ya miaka mitatu ukauza sh mil 1.5 kwa ekari... imagine ukiwa na ekari 20 una sh ngapi???Shukran mkuu mi nshakata tamaa nna kamwembe dodo nyumbani kwangu mwaka wa Tatu huu kako palepale naona dalili ya kuja kuliwa na wajukuu