Two dimension array
JF-Expert Member
- Jul 25, 2018
- 1,592
- 2,381
Msanii ommy dimpoz baada ya kuwa katika kipindi kigumu sana kwa kufanyiwa operation kwenye oesophagus kwa Mara tatu mfululizo now amerudi kwenye game rasmi.
Amerudi na wimbo unaokwenda kwa jina la "ni wewe" ikiwa kama shukrani kwa mungu kumpigania mpaka Leo hii!
Hii ni habari njema kwa watanzania, kings music na rockstar na wapenda mziki mzuri kwa ujumla
YouTube: ommy dimpoz - Ni wewe.
Welcome back omary nyembo kwenye game again!.........
Sent using Jamii Forums mobile app
Amerudi na wimbo unaokwenda kwa jina la "ni wewe" ikiwa kama shukrani kwa mungu kumpigania mpaka Leo hii!
Hii ni habari njema kwa watanzania, kings music na rockstar na wapenda mziki mzuri kwa ujumla
YouTube: ommy dimpoz - Ni wewe.
Welcome back omary nyembo kwenye game again!.........
Sent using Jamii Forums mobile app