financial institution

financial institution

Duh,kweli kazi tunayo na St. Kayumba zetu..take home ya CBE au IFM?

Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums
 
Kauliza swali ambalo nadhani linaeleweka! Sasa wewe badala ya kutoa majibu unaanza kutoa kejeli za st. Kayumba. Wacha hizo bana, kiingereza kweli kinatupiga chenga watanzania! Lakini kwa bahati nzuri tunajitahidi kuzungumza kiingereza kinachoeleweka ( japo kwenye grammar hatupo vizuri). Hivi ulishasikia mchina ambaye naye ana kiingereza cha kuunga unga akiongea kiingereza?
Duh,kweli kazi tunayo na St. Kayumba zetu..take home ya CBE au IFM?

Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums
 
Kauliza swali ambalo nadhani linaeleweka! Sasa wewe badala ya kutoa majibu unaanza kutoa kejeli za st. Kayumba. Wacha hizo bana, kiingereza kweli kinatupiga chenga watanzania! Lakini kwa bahati nzuri tunajitahidi kuzungumza kiingereza kinachoeleweka ( japo kwenye grammar hatupo vizuri). Hivi ulishasikia mchina ambaye naye ana kiingereza cha kuunga unga akiongea kiingereza?

Hv tatizo la St.Kayumba ni lugha tu? Ni pamoja na wanafunzi wa aina hii ambao take home zao wanaleta humu..

Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums
 
why there is low accessibility of banking services to many Tanzanians?

1.too much paper work./bank forms are too difficult to understand
2.banks are too far from business premises

For more reasons read world bank reports and micro small and medium enterprises in Tanzania survey (FSDT and ministry of trade)2012.
 
Duh,kweli kazi tunayo na St. Kayumba zetu..take home ya CBE au IFM?

Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums

Kama una kitu cha kuchangia ili apate majibu ya swali lake changia kwa faida yake na jukwaa zima. Unamfanya huyu jamaa apate uoga wa ku-post mada hapa jamvini akihofia kudharauliwa akikosea.
 
Sioni ubaya wowote kama utatoa mchango wako utakaosaidia huyu bwana afanye assignment yake vizuri! Tunajifunza kwa njia mbalimbali ikiwemo internet. Hivi ungesemaje endapo jamaa angekuja kuuliza swali la namna ya kufanya ngono?
Hv tatizo la St.Kayumba ni lugha tu? Ni pamoja na wanafunzi wa aina hii ambao take home zao wanaleta humu..

Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums
 
1.too much paper work./bank forms are too difficult to understand
2.banks are too far from business premises

For more reasons read world bank reports and micro small and medium enterprises in Tanzania survey (FSDT and ministry of trade)2012.

Kwa kuongezea muuliza swali atafute research report moja ya FINSCOPE wameeleza sababu nyingi sana. Unaweza ku google, type neno FINCOPE Tanzania utaipata hiyo report. Ukichanganya na ideas zako utaandika paper nzuri.
Kumbuka tu kwamba plagiarism ni kosa ambalo linaweza kukupeleka hata jela. Hivyo basi nakushauri ufanye proper referencing, nadhani utakuwa na uelewa wa Harvard referencing system.
 
Back
Top Bottom