Financial market is the most paying job hated my many

Financial market is the most paying job hated my many

Mikopo Consultant

JF-Expert Member
Joined
Oct 28, 2024
Posts
529
Reaction score
1,150
Asubuhi hii napitia charts za financial instruments, nikaona Bitcoin inaendelea ku shoot kuelekea USD 100,000 kwa Bitcoin moja. Nimekuwa nikiiangalia Bitcoin tangu ikiwa USD 450 mwaka 2015.

Maana yake hata kwa miezi 3 ilopita imefanya move ya karibu USD 40,000 kutoka USD 50,000 mpaka USD 90,000

Screenshot_20241118-110349_HFM.jpg

Anyway, najua humu mtandaoni kuna negative senyiments kuhusu masoko ya fedha, ila ambacho nazidi kusisitiza watu ni kwamba, hichi kitu financial markets kitabaki kuwa the most lucrative business.

Ila ubaya wake ni kwamba, its a lucrative business for really smart persons. Yaani kujua where does the trend move ni kitu ambacho kinahitaji research za hali ya juu sana, it span across projecting the state of the economy to interest rate and how assets might behave in the medium term and short term. Ukisoma vitabu vingi vya hedge fund managers utapata ufundi mwingi sana juu ya financial markets, these guys all of them where really smart. Ukimtaja George Soros, Michael Steinhardt, Ray Dalio, Stan Druckenmiller etc etc. So its not for everyone.

Ukienda kwenye private equity world huko ndo balaa zito, watu wanatengeneza billions and billions kwa kutumia akili. Ukimsoma Bruce waserstein utapata madini mengi au maandiko ya Michael Milken

Nikaja na conclusion moja kwamba, hapa duniani Mungu ameweka fursa za kila namna kwa mwanadamu kufanikiwa. Ukiona mtu haufanikiwi ni kwamba tu haujataka kufanikiwa au unaenda njia ambazo sio sahihi kulingana na uwezo wa akili yako.

Mafanikio hayapo kwenye kilimo tu peke yake, kuna hii financial markets sema ubaya wake hii inahitaji vichwa tu. I become very much entertained kuona vijana wa online wakiwa wanachora chora lines ku predict trends... hahahaha
 
Maskini hubung'aa kwenye mafanikio, hawataki kujua magumu mchakato.
Fahamu ya kuwa hiyo Bitcoin ilikataliwa mataifa mengi, kipindi hicho kuna watu wametapeliwa kwa kuwa mifumo haikuwa haikuwa rasmi.
 
Maskini hubung'aa kwenye mafanikio, hawataki kujua magumu mchakato.
Fahamu ya kuwa hiyo Bitcoin ilikataliwa mataifa mengi, kipindi hicho kuna watu wametapeliwa kwa kuwa mifumo haikuwa haikuwa rasmi.
Wengi wa waliotapeliwa ni kwasababu walikuwa wanawapatia watu fedha wakidhani wanawekeza kwenye bitcoin, halafu wale watu wanawazunguka.

Ila process flow ilikuwa inaeleweka kwamba ukitaka kununua Bitcoin, unaenda kwenye crypto exchange ambapo utatengenezewa Crypto wallet kisha unaingia sokoni kukutana na wauzaji.

Siku hizi process imekuwa rahisi maana kuna Crypto exchange mkubwa Binance ameweka process imekuwa rahisi sana kama mtu anataka kuwekeza kwenye Crypto. Usimpatie mtu pesa zako utapigwa
 
Natoa ushauri wa kwenda kukopa


Nimekopa 40 M zero interest, one time processing fee 2% na insurance ila sina kazi nazo, nimezichukua tu kwa sababu nimeona ni opportunity maana hazina riba. Naweza kufanya kitu gani chenze zero risk zikaongezeka kiasi bila kupoteza thamani?
 
Asubuhi hii napitia charts za financial instruments, nikaona Bitcoin inaendelea ku shoot kuelekea USD 100,000 kwa Bitcoin moja. Nimekuwa nikiiangalia Bitcoin tangu ikiwa USD 450 mwaka 2015.

Maana yake hata kwa miezi 3 ilopita imefanya move ya karibu USD 40,000 kutoka USD 50,000 mpaka USD 90,000


Anyway, najua humu mtandaoni kuna negative senyiments kuhusu masoko ya fedha, ila ambacho nazidi kusisitiza watu ni kwamba, hichi kitu financial markets kitabaki kuwa the most lucrative business.

Ila ubaya wake ni kwamba, its a lucrative business for really smart persons. Yaani kujua where does the trend move ni kitu ambacho kinahitaji research za hali ya juu sana, it span across projecting the state of the economy to interest rate and how assets might behave in the medium term and short term. Ukisoma vitabu vingi vya hedge fund managers utapata ufundi mwingi sana juu ya financial markets, these guys all of them where really smart. Ukimtaja George Soros, Michael Steinhardt, Ray Dalio, Stan Druckenmiller etc etc. So its not for everyone.

Ukienda kwenye private equity world huko ndo balaa zito, watu wanatengeneza billions and billions kwa kutumia akili. Ukimsoma Bruce waserstein utapata madini mengi au maandiko ya Michael Milken

Nikaja na conclusion moja kwamba, hapa duniani Mungu ameweka fursa za kila namna kwa mwanadamu kufanikiwa. Ukiona mtu haufanikiwi ni kwamba tu haujataka kufanikiwa au unaenda njia ambazo sio sahihi kulingana na uwezo wa akili yako.

Mafanikio hayapo kwenye kilimo tu peke yake, kuna hii financial markets sema ubaya wake hii inahitaji vichwa tu. I become very much entertained kuona vijana wa online wakiwa wanachora chora lines ku predict trends... hahahaha
Inaniuma sana..mwaka.2018 ilkuwa kwenye USD 3500 hivi nilitaka kununua nikapotezea du..anyways hatujachelewa may be itafika usd 1M tuendelee kuwekeze
 
Nimekopa 40 M zero interest, one time processing fee 2% na insurance ila sina kazi nazo, nimezichukua tu kwa sababu nimeona ni opportunity maana hazina riba. Naweza kufanya kitu gani chenze zero risk zikaongezeka kiasi bila kupoteza thamani?
Fursa zipo nyingi mkuu... nimegusia financial instruments kama hizo so unachoweza kufanya ni kuzitawanya hizo pesa kwenye uwekezaji.

Bonds - 35%
Real Estate - 20%
Hisa - 25%
Crypto - 10%
Business - 10%

Hiyo ndo namna tunaita diversification
 
Inaniuma sana..mwaka.2018 ilkuwa kwenye USD 3500 hivi nilitaka kununua nikapotezea du..anyways hatujachelewa may be itafika usd 1M tuendelee kuwekeze
Yaaah Bitcoin imetufundisha kwamba tupo kwenye dunia yenye opportunities nyingi mnooo...

Lakini hizi opportunity ni kama una ufahamu mzuri wa masuala ya kifedha, otherwise unaweza usiwe na uwezo wa kujua kama hii ni opportunity au la.
 
Back
Top Bottom