Find the value of x

ni bahati mbaya au ni shule za kata? hivi kama log(x+4)/log 2 =(x+4)/2, je is t true that log100/log 10 =100/10 =10 na sio 2? Au ndo ninyi huwa mnadanganya sin 90/sin 30 =90/30 =3. rudini form two vijana?
 
hapo kwenye
x = l(4+x)/log2
x=4+x/2 sio kweli.there no such a law in logarithms

Hebu prove kama nimekosea wapi

Mkuu, science haipo hivyo, Jibu ni sawa ama sio sawa, kama ni sawa basi hiyo law yangu inafanya kazi, achana na ujinga wakukariri

kuna maswali mengi ya kujiuliza hapo
1) ni nani alitengeneza hiyo kanuni ya Log
2) je unaamini kuwa hiyo kanuni ilianzia nyuma kwenda mbele, yaani jibu lilikuwa linajulikana na kisha ndio njia hiyo ya log ikatengenezwa
3) Unapofanya science jaribu kuwa neutral na free ili uweze kuleta changamoto mpya
 
ni bahati mbaya au ni shule za kata? hivi kama log(x+4)/log 2 =(x+4)/2, je is t true that log100/log 10 =100/10 =10 na sio 2? Au ndo ninyi huwa mnadanganya sin 90/sin 30 =90/30 =3. rudini form two vijana?

ahsante sana head teacher.hao jamaa walikuwa wanaenda long way.ET log100/log10=100/10 = 10.
 

Mimi ninakataa kwa hoja Mr KITUKO.Unawezaje kumwambia mtu kuwa log8/log4 = 8/4 =2? badala ya 3/2? Au log100/log10 = 100/10 = 10?
 
In the really world....how can we make money out of such equations where x is unknown but money is known? Vinginevyo kufanya hizo hesabu Africa hakulipi.
 
1) Apply log ya base 10:
log2^x=log4x
xlog2=log4+logX
xlog2=log(4+x)
x=log(4+x)/log2
x=(4+x)/2
2x=4+x
x=4

Uko vizuri sana kwa namba,unanikumbusha MKWAWA enzi hizo na mwalimu wangu wa pure maths mr BUSANJI
 
SASA NAONA WOTE CHALI KI2 HICHI SIMCHEZO. O-level MTUPISHE KIDOGO
IT'S GOING DOWN LIKE THIS...
2^x = 4x
1 = 4x*2^(-x)
1/4 = x*2^(-x)
1/4 = x*e^(-x ln(2))
-ln(2)/4 = -x ln(2)*e^(-x ln(2))
W(-ln(2)/4) = -x ln(2)
W(-ln(2)/4) / -ln(2) = x
Where W is the Lambert W-Function.
Wolfram Alpha approximates the
solution as
0.309906932380
KAMA HUJAELEWA AU KUNA SEHEMU UMEACHWA ULIZA. MATHEMATICS BONGO NI UGONJWA WA TAIFA.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…