billduke JF-Expert Member Joined Mar 19, 2013 Posts 860 Reaction score 898 Apr 9, 2013 #1 Waungwana naomba msaada mnielekeze jinsi ya kupika firigisi ziwe laini,maana nimejaribu zinakuwa ngumu kweli.
Waungwana naomba msaada mnielekeze jinsi ya kupika firigisi ziwe laini,maana nimejaribu zinakuwa ngumu kweli.
MamaParoko JF-Expert Member Joined Jan 14, 2008 Posts 463 Reaction score 60 Apr 10, 2013 #2 weka chumvi kidogo na chemsha kwa lisaa limoja na nusu.
Smile JF-Expert Member Joined Jul 18, 2011 Posts 15,347 Reaction score 11,619 Apr 10, 2013 #3 MamaParoko said: weka chumvi kidogo na chemsha kwa lisaa limoja na nusu. Click to expand... duuuh ? za kuku gani?
MamaParoko said: weka chumvi kidogo na chemsha kwa lisaa limoja na nusu. Click to expand... duuuh ? za kuku gani?
Smile JF-Expert Member Joined Jul 18, 2011 Posts 15,347 Reaction score 11,619 Apr 10, 2013 #4 makuku mengine huwa sio kabisa mimi napenda kula kuku jike tena mwenye mayai ndani ni watamu na laini sio mjogoo una miaka mitano utachemsha lakini anaota tena manyoya ...da
makuku mengine huwa sio kabisa mimi napenda kula kuku jike tena mwenye mayai ndani ni watamu na laini sio mjogoo una miaka mitano utachemsha lakini anaota tena manyoya ...da
MamaParoko JF-Expert Member Joined Jan 14, 2008 Posts 463 Reaction score 60 Apr 10, 2013 #5 Smile said: duuuh ? za kuku gani? Click to expand... wa kawaida, yeye anataka ile akitia mdomoni tu kama zinayeyuka.
Smile said: duuuh ? za kuku gani? Click to expand... wa kawaida, yeye anataka ile akitia mdomoni tu kama zinayeyuka.
Paloma JF-Expert Member Joined Jan 22, 2008 Posts 5,331 Reaction score 4,955 Apr 10, 2013 #6 billduke said: Waungwana naomba msaada mnielekeze jinsi ya kupika firigisi ziwe laini,maana nimejaribu zinakuwa ngumu kweli. Click to expand... daah kuelezea nido ngumu mkuu.........ila ni upikaji flani hivi jamani!!! sijui nikusaidiejeeeee?!?!
billduke said: Waungwana naomba msaada mnielekeze jinsi ya kupika firigisi ziwe laini,maana nimejaribu zinakuwa ngumu kweli. Click to expand... daah kuelezea nido ngumu mkuu.........ila ni upikaji flani hivi jamani!!! sijui nikusaidiejeeeee?!?!
billduke JF-Expert Member Joined Mar 19, 2013 Posts 860 Reaction score 898 Apr 10, 2013 Thread starter #7 Paloma japo kidogo nipate idea maana napenda sana firigisi Last edited by a moderator: Jan 4, 2016
billduke JF-Expert Member Joined Mar 19, 2013 Posts 860 Reaction score 898 Apr 10, 2013 Thread starter #8 Saa limoja na nusu yamekuwa maharage tena hayo..duh