Mwana Mtoka Pabaya
JF-Expert Member
- Apr 22, 2012
- 15,118
- 16,485
Wakati wao huu, kila gazeti litajaa habari zao na jinsi walivyonona. Lakini mwisho wa msimu kukonda kunawasubiri, maana isingekuwa refa kuwaua Mbao...saa hivi kuna mtu angekuwa anaVEVEA mbaliWachezaji 25 kila mwaka wanajenga timu.
Sent from my Vodafone Smart Tab 3G using JamiiForums mobile app
Yap pamoja na Okwi,teh teh hakuna kazi rahisi kama kuongoza Club ya Simba yaani mashabiki wake sijui wamepuliziwa nini hawajielewi wala kujitambua,poleni sana.Je imethitishwa kama niyonzima na ngoma anakuja simba?
Anaweza Okwi si kaja.Ngoma Hapana hawezi kucheza stylebya Simba
Hawa jamaa hatari sana. Pale wengine wanaenda kuwa mizigo tuWachezaji 25 kila mwaka wanajenga timu.
Sent from my Vodafone Smart Tab 3G using JamiiForums mobile app
Naona kivuli chenu cha kutokujiamini kuchukua ubingwa bado kinawaandama. Kwa kifupi hicho kikosi ni cha kumfunga Yanga tuu hata kwa Kagera Sugar hamtoboi sembuse kimataifa. Halafu mwisho mwa msimu ubingwa unakwenda ulikozoea,kwa Yanga.Naona kabehi zinaendelea. Hicho kikosi ni kwa ajili ya mechi za kimataifa na si vyura churani. Kama mpira wa bongo ungekuwa wa haki,kikosi hiki kinaweza kushindana tu na Hans maana naye anakikosi bora. Ila kama yule nshomile anarudi basi tutaendelea kuona madudu tu.
puuzi mtupu. Simba baada ya kuoba hawapati vikombe wakati wenzao wanapata viikombe kwa timu ileile ya wazeee basi simba nao wameamua waunde timu ya wazee - shame
Hii inaweza kuwa kikosi nora kuwah tokea endapo watawanasa wachezaji kama inavotajwa na mitandao mbalimbali.
Utakumbuka kile kikosi cha akina Kaseja, Pawasa,Costa ,Christopha alex "masawe", Seleman Matola.
Sasa ni wazi kua endapo simba itakua na kikosi ka hicho ni wazi kua msimu ujao itakua tishio kubwa kwenue michezo ya ligi kuu na shirikisho.
Sub ya simba itakua kinatoka kitu kinaingia kitu kuna: Agyei, Mohamed ibrahim,Banda,Kotei,Ngoma, Ndemla na Bokungu.
Sifa ya simba na heshima ya vilabu vya bongo naona inarudi mana mda mrefu tumekua washiriki.
Kagera wanaifungia mezani tuuuWangekuwa na akili angalau kidogo, wangetengeneza kikosi cha kuifunga Kagera Sugar UWANJANI
Hamna, juhudi binafsiNyie si mnabeba kwa mbeleko ya Malinzi?
Hii inaweza kuwa kikosi nora kuwah tokea endapo watawanasa wachezaji kama inavotajwa na mitandao mbalimbali.
Utakumbuka kile kikosi cha akina Kaseja, Pawasa,Costa ,Christopha alex "masawe", Seleman Matola.
Sasa ni wazi kua endapo simba itakua na kikosi ka hicho ni wazi kua msimu ujao itakua tishio kubwa kwenue michezo ya ligi kuu na shirikisho.
Sub ya simba itakua kinatoka kitu kinaingia kitu kuna: Agyei, Mohamed ibrahim,Banda,Kotei,Ngoma, Ndemla na Bokungu.
Sifa ya simba na heshima ya vilabu vya bongo naona inarudi mana mda mrefu tumekua washiriki.
Acha uwongo ndugu kwani kabla ya huyo unayemwita nshomile kuja, simba mlichukua ubingwa lini? Mnapenda ulalamishi kama watoto wa kambo! Muwe mnachagua viongozi wasomi na waelewa kama Yanga! Tena bora kikosi chenu cha mwaka huu kilikuwa bora kuliko hicho cha msimu ujao!Naona kabehi zinaendelea. Hicho kikosi ni kwa ajili ya mechi za kimataifa na si vyura churani. Kama mpira wa bongo ungekuwa wa haki,kikosi hiki kinaweza kushindana tu na Hans maana naye anakikosi bora. Ila kama yule nshomile anarudi basi tutaendelea kuona madudu tu.