acha kuanzisha thread za kitoto! sasa baada ya kumaliza hizo shule zenu utabandikwa nembo usoni kuwa wewe ulikuwa tanzania one! mm secondary nilipata madaraja mazuri tu ila chuo nikala pass 2.3 ,watu kama wewe walinicheka sana walifikiri mpaka maisha nitapiga pass! kumbe si hivyo bwana ,kuwa to ni historia tu
Hi student? Jamani mi ni mzoefu na chuo .. Kwanza najua kila mmoja anapojiunga na chuo mawazo yake huwa ni kupata 1st class yani GPA 4.4-5.0 lakini kiuhalisia ndoto zao hupotea wanapokuja kugundua ukweli. Wanaopata 1st class chuo karibu 95% ni ma TO(TZ ONE- TOP 20), Wanaopata hzi ni wale wenye hstoria zao, mara o level 7,8 a leve 3,4. Kwa hyo msijetarajia makubwa wakati huna uwezo. Mfano mwaka 2005 jamaa aligradte mzumbe akapata 5.0 Gpa overal, na jamaa alikuwa wa 3 fom six. Waachie matoo first class zao, wale jamaa tunawaita SUPER HUMANS
hii mada inazidi kudhihirisha jinsi ambavyo watanzania wanahusudisha sana elimu ya kwenye makaratasi na kupata alama za juu bila kuangalia utumikaji wa hiyo elimu katika kutawala mazingira yetu kwa lengo la kuboresha maisha.
mbeba box kilaza wewe ....elimu yenyewe umeunga unga!rudi bongo tukukimbize hapa mujini.
hi student? Jamani mi ni mzoefu na chuo .. Kwanza najua kila mmoja anapojiunga na chuo mawazo yake huwa ni kupata 1st class yani gpa 4.4-5.0 lakini kiuhalisia ndoto zao hupotea wanapokuja kugundua ukweli. Wanaopata 1st class chuo karibu 95% ni ma to(tz one- top 20), wanaopata hzi ni wale wenye hstoria zao, mara o level 7,8 a leve 3,4. Kwa hyo msijetarajia makubwa wakati huna uwezo. Mfano mwaka 2005 jamaa aligradte mzumbe akapata 5.0 gpa overal, na jamaa alikuwa wa 3 fom six. Waachie matoo first class zao, wale jamaa tunawaita super humans
Siku watu wakiniambia GPA za hawa wafuatao nitaamini GPA inamaana katika perfomance in life..Bill Gates,Steve Jobs,Reginald Mengi,David Oyedepo,Bakhresa,Kikwete,Obama,Slaa.
mla vumbi na mkanyaga tope umkimbize nani wewe? Kakimbize mwizi kwa babu yako huko.
kama ma TO wana mawazo kama haya, bac serilikal iwe makin. Ma To watapoteza nchiAMEKUA TO HAJAWA TO...ANA
NINI CHA ZIADA!!! ndio unawajua....je wamefanya nini cha ziada...au
kukariri tuuuu!!! kweli hii elimu inapoenda ni pabaya..badala ya watu
kujisifia wamegundua vitu vya msingi eti wanajisifia wamepata 1.3 na
wengine ma TO!!! HUU NI UVIVU WA KUFIKIRI!!!!
Maxence Melo yawezekana huyu hana hiyo 1st class lakini ametukusanya hapa wote.
Hi student? Jamani mi ni mzoefu na chuo .. Kwanza najua kila mmoja anapojiunga na chuo mawazo yake huwa ni kupata 1st class yani GPA 4.4-5.0 lakini kiuhalisia ndoto zao hupotea wanapokuja kugundua ukweli. Wanaopata 1st class chuo karibu 95% ni ma TO(TZ ONE- TOP 20), Wanaopata hzi ni wale wenye hstoria zao, mara o level 7,8 a leve 3,4. Kwa hyo msijetarajia makubwa wakati huna uwezo. Mfano mwaka 2005 jamaa aligradte mzumbe akapata 5.0 Gpa overal, na jamaa alikuwa wa 3 fom six. Waachie matoo first class zao, wale jamaa tunawaita SUPER HUMANS
Napata heshima ma fans wa kila aina silii njaa nipo peace linanilinda jina,ma TO njo habare ya mujini.