Kizzy Wizzy
JF-Expert Member
- Aug 2, 2013
- 3,280
- 3,789
Huyu jamaa c ni mwalim sa hz anahangaika tu mtaani..!!!
Noo karudi chuo..., Now yupo hapa UDSM. ni kweli alikuwa mwalimu na alitufundisha sisi kipindi tupo Tosamaganga form six... But now karudi masomoni na anapiga petroleum Eng. Jamaa still bado yuko juu na ni jembe anajua vitu huyo balaa
yaa jamaa ndo tatizo lake kubwa anajiona superior kushinda wote. Na ww ulipiga Tosa Mkuu?Okay.. mi mwenyewe alinfundsha advance, yuko vzur sema ana majungu sana
mwanamabadiliko nimegundu unakata tamaa mapema sana then hujiami...vinginevyo huwezi badilika...sio kweli waloom pata hizo 7 , 8....3, 4 ndo haki yao kupata first class chuo...Niligonga 2 ya 18 then 2 ya 11 but chuo nikakong'oli 4.4....trust ur self
upuuzi mtupu hana lolotejamaa statistically yupo sahihi kwani wewe na washikaji wako mnaangukia kwenye 5% ya waliopata 1st class ambao sio ma-to.
TO gani ambaye hajapata first class?
•Mnawajua ma-TO wote kuanzia 1995-2008? Mie nawajua kama 8 hivi na Mmojawapo ni ZeMarcopolo (Jamaa kichwa na amepata first class),wengine siwataji ila wametoka Mzumbe/Kibaha na Ilboru,wengi naowajua wanakula maisha.....M1(A 10 olevo,A 3 alevo na 4.9 chuo) tu ndio alipata mitihani baada ya kumaliza chuo alikosa kazi kwa mda hivi akawa fustrated lkn baadae alipata kazi anakula maisha.
•Mie nilipiga One ya 3 Advance lkn sijabahatika kupata U -TO! Na Chuo kama kawa 1st class kwahyo nakubaliana na mtoa uzi,wengi waliopiga point3 wamepiga 1st class chuo.
T.O wa 2003 alitoka mzumbe anaitwa lusekelo kibona na alisoma computer engineering pale COET hajapata first class na alipata upper 2nd ya kawaida tu,wa mwaka 2006 sijui anaitwa kayombo yeye alidisco hasa..so msikariri maisha,alieongoza overall 2010 UDSM yote anaitwa salome na alisoma computer science na hakuwa na hata 1 ya 3 form 6,alieongoza ardhi 2003 overall alikua na GPA ya 4.9 au 5.0 kama sikosei anaitwa tumaini kabudi mtoto wa pofesa kabudi wa pale udsm na hata hakuwa na hata 1 form 6 zaidi ya 1 yake ya form 4..so msikariri sana.
Kuwajua wote hao kumekusaidiaje katika maisha yako
nimewajua kwa sababu nina interaction nao,na nawajua physically sio kuhadithiwa,lusekelo amenifundisha wakti nipo advance,salome na tumaini nimejuana nao nao kwenye mishe za maisha,maliza kwanza huko sua uliko ndio uje mtaani utajuana na watu wengi tu wenye akili kama za kwako..maana ukiwa na akili finyu na rafiki zako itakua ni hao hao,hapo sua kuna walimu wako ukiwa tayari niambie nikuunganishe nao na watakwanbia mm ni nani?kwenye mambo ya elimu nimeshazunguka sana so nina experience tosha katika elimu..na nimewajua hao coz wote ni wasomi wenzangu ambao wana akili kama zangu...
"Lakini c wote" Hyo ndo point mkuuina kaukweli flani,let take a simple example-someone by the name-martin chegele alianza u-to tangu primary 2000,then o-level maua 1-7 ,a-level pugu 1-3 na chuo-udsm 4.8 na bado upo masterz alifanya maajabu ktk course work anamalizia dissertation,hapo naona inawezekana ikawa hvyo lakini si wote.
[emoji23]Kuwajua wote hao kumekusaidiaje katika maisha yako
Pumba zinanuka hixiHi student?
Jamani mi ni mzoefu na chuo .. Kwanza najua kila mmoja anapojiunga na chuo mawazo yake huwa ni kupata 1st class yani GPA 4.4-5.0 lakini kiuhalisia ndoto zao hupotea wanapokuja kugundua ukweli. Wanaopata 1st class chuo karibu 95% ni ma TO(TZ ONE- TOP 20),
Wanaopata hzi ni wale wenye hstoria zao, mara o level 7,8 a leve 3,4. Kwa hyo msijetarajia makubwa wakati huna uwezo. Mfano mwaka 2005 jamaa aligradte mzumbe akapata 5.0 Gpa overal, na jamaa alikuwa wa 3 fom six.
Waachie matoo first class zao, wale jamaa tunawaita SUPER HUMANS.
Kihombo jeee 😹😹😹TO gani ambaye hajapata first class?
Mnawajua ma-TO wote kuanzia 1995-2008? Mie nawajua kama 8 hivi na Mmojawapo ni ZeMarcopolo (Jamaa kichwa na amepata first class),wengine siwataji ila wametoka Mzumbe/Kibaha na Ilboru,wengi naowajua wanakula maisha.....M1(A 10 olevo,A 3 alevo na 4.9 chuo) tu ndio alipata mitihani baada ya kumaliza chuo alikosa kazi kwa mda hivi akawa fustrated lkn baadae alipata kazi anakula maisha.
Mie nilipiga One ya 3 Advance lkn sijabahatika kupata U -TO! Na Chuo kama kawa 1st class kwahyo nakubaliana na mtoa uzi,wengi waliopiga point3 wamepiga 1st class chuo.
Jamaa alishafariki,dah maisha haya,ukiwa hai mshukuru sana mwenyezi munguUnamzungumzia Charles Kiombo kutoka Tosamaganga... Hahaha jamaa ni kichwa yule balaa yupe UDSM mwaka wa pili sasa anachukua Petroleum Eng.