First class LLB UDSM

Yo Yo

JF-Expert Member
Joined
May 31, 2008
Posts
11,210
Reaction score
1,720
Niliwahi kusoma humu humu kuwa udsm tangu kitivo cha sheria kianzishwe hakuna first class zaidi ya mama Migiro.

Mutula kilonzo alimaliza udsm na kupata first class

Dr Ringo Tenga nae alipata first class 1976

Hii dhana ya kwamba vijana wanadanganywa kuwa hakuna first class kwenye kitivo fulani ili kuwagopesha si jambo jema na walimu waache ukuda kuwanyima first class vijana haingiii akilini vijana vipaji maalum Ilboru mzumbe wakose first class.

: I.K Nyani Ngabu
 
Last edited by a moderator:
Nasikia mtu wa mwisho kupata first class LLb UDSM ni profesa Majamba zaidi ya miaka ishirini iliyopita!
 
Ulisoma vibaya ,walisema mtu wa mwisho kupata first class ya sheria ni Dr Migiro na sio kwamba yeye tu ndio alipata first class
 
Ulisoma vibaya ,walisema mtu wa mwisho kupata first class ya sheria ni Dr Migiro na sio kwamba yeye tu ndio alipata first class
ina maana miaka zaidi ya 30 hakuna first class? sitaki kuamini kama kweli hakuna mwenye uwezo wa kukariri na kupata first class maana sheria ni kukariri tu hakuna kuelewa
 
ina maana miaka zaidi ya 30 hakuna first class? sitaki kuamini kama kweli hakuna mwenye uwezo wa kukariri na kupata first class maana sheria ni kukariri tu hakuna kuelewa

Hata bilionea Nyaga Mawalla hakuipata hiyo festi klasi?

Na wale wenye vipaji maalum kutoka shule za wenye vipaji maalum nao hakuna hata mmoja aliyepata hiyo festi klasi?

Hivi hiyo sheria ina ugumu gani haswa? Ni ngumu kuliko sayansi ya maroketi?

Ni ngumu kuliko udaktari wa upasuaji wa moyo au ubongo?
 
naelekea hicho kitivyo kutimiza malengo yake ni ndoto kwa miaka takribani 30....
 
kama mnataka orodha ndefu ya 1st class nendeni hapo tumaini na za mafungu
 
kama mnataka orodha ndefu ya 1st class nendeni hapo tumaini na za mafungu
Jaribu pia University of Cape Town, kuna 'first class' karibu kila mwaka, halafu ndo ujiulize kwanini chuo chenu hakina.
 
yaah....the last first class ni majamba...year 1992
 
Why is it so important? Sioni sababu ya kujadili hili,kwani lengo la kusoma ni 'first class tu'?
 
watu waliowahi pata first class ni wanne wawili ni marehem tayari akiwemo yule mnzanzibar nadhan dr khatib au othman,,walioko hai ni prof kabudi na rose migiro full stop,,,hao ndio waliowahi pata first class
 
Jamani vipi Warioba!nilisikia nae ana first class!
 
Jaribu pia University of Cape Town, kuna 'first class' karibu kila mwaka, halafu ndo ujiulize kwanini chuo chenu hakina.
Majungu, ubinafsi & lack of appreciation ndo sifa zetu kuu..! Walimu kuamini kuwa sheria ni ngumu na dent hawezi kupiga a series on A..! We have bad mentality in short..!
 
Reactions: mka
ina maana miaka zaidi ya 30 hakuna first class? sitaki kuamini kama kweli hakuna mwenye uwezo wa kukariri na kupata first class maana sheria ni kukariri tu hakuna kuelewa

Baada ya akina Migilo, waalimu wakaacha kufundisha na muda mwingi wako mahakamanai na ofisi zao. Wanafunzi wanajisomea wenyewe jamani!
 
ina maana miaka zaidi ya 30 hakuna first class? sitaki kuamini kama kweli hakuna mwenye uwezo wa kukariri na kupata first class maana sheria ni kukariri tu hakuna kuelewa
Unatafuta ugomvi na wadau...
simo!
 
Kama Bilionea Nyaga hakupata first class basi udsm kuna ulakini maana hayati Nyaga alisifiwa sana na wana ilboru wenzie kuwa ni kichwa.Kizuri zaidi wakati udsm wanabana tumaini vijana wanapasua first class za kufa mtu na wanakula ajira
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…