Habari Wadau.
Leo nimekuja kusisitiza jambo moja tu kwa wanachuo nalo ni kusoma kwa bidii na kuweka nia ya kupata first class coz najua ukilenga first class, upper second utaipata kwa bahati mbaya.
Ajira zimekua ngumu sana na ufaulu wako bila kujali chuo wala course ndio vitakavyokupa value na kukubeba kwenye market hivyo basi tumieni muda wenu vizuri ili msije mkajuta baadae. Ukikosa first au upper second kwa kweli unakua kwenye nafasi mbaya sana katika kupata ajira hivyo kazaneni sana wajameni. Kuna kampuni huwezi pata kazi usipokua na japo upper second. Nawaambia ili muwe na taarifa kabisa msije kuteseka baadae kutokana na kugraduate na GPA ndogo so tuliza akili soma sana na kuwa mcha MUNGU akiweka starehe, ulevi na uzinzi mbali na wewe.
Finally, niwatakieni masomo mema first year wote na wanaendelea, someni sana nasisitiza someni hata kama watu watakuona mshamba ila jua unawekeza kwa maisha yako ya baadae. Kumbuka kila mtu ametoka kwao na ukimaliza utarudi kwenu so don't let down your family.
Kwa wenzangu na mimi tuliograduate na tunatafuta kazi tueendeleeni kupambana huku tukiombeana na kutiana moyo na mwisho tutafika katika mafanikio kwa msaada wa MUNGU wetu aliejuu mbinguni.
Leo nimekuja kusisitiza jambo moja tu kwa wanachuo nalo ni kusoma kwa bidii na kuweka nia ya kupata first class coz najua ukilenga first class, upper second utaipata kwa bahati mbaya.
Ajira zimekua ngumu sana na ufaulu wako bila kujali chuo wala course ndio vitakavyokupa value na kukubeba kwenye market hivyo basi tumieni muda wenu vizuri ili msije mkajuta baadae. Ukikosa first au upper second kwa kweli unakua kwenye nafasi mbaya sana katika kupata ajira hivyo kazaneni sana wajameni. Kuna kampuni huwezi pata kazi usipokua na japo upper second. Nawaambia ili muwe na taarifa kabisa msije kuteseka baadae kutokana na kugraduate na GPA ndogo so tuliza akili soma sana na kuwa mcha MUNGU akiweka starehe, ulevi na uzinzi mbali na wewe.
Finally, niwatakieni masomo mema first year wote na wanaendelea, someni sana nasisitiza someni hata kama watu watakuona mshamba ila jua unawekeza kwa maisha yako ya baadae. Kumbuka kila mtu ametoka kwao na ukimaliza utarudi kwenu so don't let down your family.
Kwa wenzangu na mimi tuliograduate na tunatafuta kazi tueendeleeni kupambana huku tukiombeana na kutiana moyo na mwisho tutafika katika mafanikio kwa msaada wa MUNGU wetu aliejuu mbinguni.