Pure_sapiens
JF-Expert Member
- Dec 25, 2016
- 2,228
- 2,064
Nashukuru sana mkuu lakini mbona kuna raia wanakamuwa ndani ya first date. JoseverestAcha Papara Pupa.. Be real and Smart ...Kuwa mstaarabu tu..First date sio lazima kula mzigo
Na mimi ndo nikashangaa.. Huyu jamaa kama ni kuharibu basi ni yeye kutaka kula mzigoAcha Papara Pupa.. Be real and Smart ...Kuwa mstaarabu tu..First date sio lazima kula mzigo
Yeah inategemea na mbinu na maelewano,, mademu wengine huwa wanakupima kuona kama una tamaa na harakaNashukuru sana mkuu lakini mbona kuna raia wanakamuwa ndani ya first date. Joseverest
great thinker
Wala usihangaike kwenda. Kuza kwanza akili yako!Habari zenu wakuu .Niende kwenye maada
Ni hivi kuna msichana mmoja nimetongoza yapata miaka 2 lakini Leo amenipa green ligh/amekubali.Kuonyesha amekubali ameniomba tu date kwa siku ya kesho yaani hapa nawaza balaa.Naomba msaada kàtika mambo hoya
1]Maneno gani ya kumwambia ili nisiharibu profile yangu?
2]Matendo gani endapo nikiyafanya naweza kubadili mtizamo wake juu yangu?
3]Nifanya nini ili siku ya kesho nile mzigo.
Nawakaribisha.
Asanteni
great thinker
Sina gari mkuu mbinu zingine nitazi a playNenda uka behave kama gentleman ,mfungulie mlango wa gari,mvutie kiti wakati wa kukaa,mlishe,ukaongee taratibu sio kelele kama unaangalia mpira etc
Sent using Jamii Forums mobile app
Ndio mkuu
Vipi siwezi andaa mazingira kula mkate maana huyu demu kanisumbuwa hadi asiraNa mimi ndo nikashangaa.. Huyu jamaa kama ni kuharibu basi ni yeye kutaka kula mzigo
Sent using Jamii Forums mobile app
Mi nataka hiyo mbinu ya kula papuchi yake huyu manziYeah inategemea na mbinu na maelewano,, mademu wengine huwa wanakupima kuona kama una tamaa na haraka
Yeah ni kweli mkuu, kosa kubwa sana tunafanyaga hilo la kuwaza kuwa first date lazima kula mzigoNa mimi ndo nikashangaa.. Huyu jamaa kama ni kuharibu basi ni yeye kutaka kula mzigo
Sent using Jamii Forums mobile app
Na mimi ndo nikashangaa.. Huyu jamaa kama ni kuharibu basi ni yeye kutaka kula mzigo
Sent using Jamii Forums mobile app