CAPO DELGADO
JF-Expert Member
- Aug 31, 2020
- 8,542
- 18,340
- Thread starter
-
- #21
Ahsante sanaHujui chochote kuhusu mpira
Sakho eti nn??
Utopolooo waza team yako, poleeeeeeh
Bora uulize kuliko kuanza kwa ubishi.Sakho eti nn?? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Utopolooo waza team yako, poleeeeeeh
Iwazie team yako utopolo.Sackho m
Bora uulize kuliko kuanza kwa ubishi.
Sakho hajakomaa.
Bado hajakua si mchezaji wa kumtegemea akupe goli 15 plus kwa msimu.
Mchoyo,mbinafsi.
Hachezo as a team work.
Anapoenda kucheza na jukwaa
Pamoja na uwezo wako mdogo wa kuchambua mambo hebu jiulize maswali haya machache kupima hoja zako, mzungu amecheza mechi ngapi akiwa simba sc,? amecheza dakika ngapi akiwa ndani ya simba,? ana muda gani kwenye timu ya simba sc toka amesajiliwa,? kule ismailia pre-season alikuwepo? ukijibu hayo maswali utajua ulichokiandika ni kudhihirisha ulivyo na akili ndogo kuchambua mambo.. dunia ya sasa inahitaji watu wanaotumia akili zaidi kuamua mambo kuliko hisia zinazochochewa na mihemko.FIRST ELEVEN YA SIMBA 2022.
1. Aishi Manula.
2. Shomari Kapombe.
3. Mohamed Hussein.
4. Mohame Oattara.
5. Enoch Enonga.
6. Hapa hakuna mchezaji sahihi.
7. Augustine Occrah.
8. Victor Akpan au Kanute.
9. Hakuna mchezaji sahihi wa kucheza hii nafasi. Adebayor imeshindikana, Manzoki hatujui ni NINI hatma yake Hadi sasa.
10 Clotus chama, Sacko, Okw. Ushindani ni mkali Sana.
11. Moses phiri.Sakho.
Wanasimba tunahitaji tujue kama usajili wa Cesal Lobi Manzoki. Kama wameshindwa watuweke wazi tujue.
NO MANZOKI NO UBINGWA.
WANASIMBA JIANDAENI KISAIKOLOJIA.
MZUNGU TUMEPIGWA PEUPE.
MZUNGU na Manzoki unamchagua nani first eleven????Pamoja na uwezo wako mdogo wa kuchambua mambo hebu jiulize maswali haya machache kupima hoja zako, mzungu amecheza mechi ngapi akiwa simba sc,? amecheza dakika ngapi akiwa ndani ya simba,? ana muda gani kwenye timu ya simba sc toka amesajiliwa,? kule ismailia pre-season alikuwepo? ukijibu hayo maswali utajua ulichokiandika ni kudhihirisha ulivyo na akili ndogo kuchambua mambo.. dunia ya sasa inahitaji watu wanaotumia akili zaidi kuamua mambo kuliko hisia zinazochochewa na mihemko.
Akpan anaenjoy box to box 8 costal Alikuwa anachezeshwa 8.
Okwa ni 8 lakini mpira wa kisasa unahitaji ku balance kulinda na kushambulia unahitaji 8 mwenye uwezo wa kucheza Box to box kushambulia na kukaba.
Okwa anaenjoy Sana 10.
Watu wazima wanajenga hoja na si maneno ya kitoto kama hayo.Wewe kachambe karanga tu na Saida Kalori
Hatujui mbinu za kocha.Pale Simba sidhani kama kuna mchezaji anaweza kuitendea Haki 10 kama Chama jr
Hatujui mbinu za kocha.
Chama TATIZO lake slow na KUSHINDWA kufanya pleasing timu isipokuwa na mpira.
Okwa yupo na speed kubwa high pressing, pressing nk.
Ila chama ni fundi Sana,wa kufunga na kuasist.
Ila amepata washindani phili na Okwa
Mpira wa kisasa mashindano makubwa unahitaji kwenda na DUBLE pivot Viungo wawili wa UKABAJI. 6.8Kama vipi kocha awaweke wote, Phiri 7
Okwa 8
Chama 10.
Sakho wakati mwingine simwelewi kwa sababu kadhaa..
1 Si mzuri kurudi kusaidia kukaba
2 Ana kama kautoto fulani ka kucheza na jukwaa
3 ana tabia ya kukaa sana na mpira
Mkuu, unataka kiungo akupe goli 15 kweli?Sakho hajakomaa.
Bado hajakua si mchezaji wa kumtegemea akupe goli 15 plus kwa msimu.
League michezo 30Mkuu, unataka kiungo akupe goli 15 kweli?
duh!,basi ngoja nikuache tu.Umewahi kumuona akicheza sita????
Na huyo Akpan aliyesajiliwa sita itakuwaje?????
Onyango amechoka aendelee kula pension tu