Aishi Manula,
Erasto Nyoni, Abdu Banda, Aggrey Morris Kelvin Yondan,
Mao Mkami,Simon Msuva,
Mudathir Yahya, Mbwana Samata, John Bocco, Yahya Zayd
Aishi Manula,
Erasto Nyoni, Abdu Banda, Aggrey Morris Kelvin Yondan,
Mao Mkami,Simon Msuva,
Mudathir Yahya, Mbwana Samata, John Bocco, Yahya Zayd
Bado tunamhitaji mkude na Ajib ... Huwezi peleka Afcon magolikipa wa5[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
!
!
Hivi Hairuhusiwi Kuwa Na Magolikipa Watano Kwenye Mechi Moja. Wote Wanataka Halafu Ndani Tunakuwa Na Wachezaji Watano Tu
Kwendraaa[emoji3][emoji848]Akili za kinigeria tuu ndio zinaweza kuqeka magolikipa 5
Ni rahisi kutemwa AMUNIKE kuliko Nyoni... yule kiraka 2,4,5 na 6 anacheza na anaweza kupandisha timu.Nyoni ameanza lini kucheza namba 6 kama Hana nafasi Kwa mabeki atemwe tu
Ikibidi atachezaBanda mzuri na pia ana height nzuri Mechi ya Senegal atahitajika sana wana manguvu sana.
Golikipa wawili watakatwa watabaki watatu..Akili za kinigeria tuu ndio zinaweza kuqeka magolikipa 5
Lishe ni nini.. kitambi? au kula hadi kujinyea?Kwa kweli ZIMBWE sioni nafasi yake kabisa.. Lishe duni sana..
Muangalie babako jinsi alivyo kosha ulete nrejesho wa lisheLishe ni nini.. kitambi? au kula hadi kujinyea?
Amesaini BlackpoolAdi Yusuf anakipiga Sollihull Moore na si Blackpool
in fact yako vizuri sana,, atasaidia kwa kiasi chake endapo atapewa nafasi,, ingawa nina wasiwasi na hilo kwa kuwa kocha atataka kupanga wachezaji waliozoana,,
Acha chuki kaungane na mwenzio mtumie muda vizuri kwa kuendesha bodabodaSasa Amunike anamuamini mtu Sasa?? Kuna dogo yuko uingereza sijui U17 aliitwa hapa bure hata hakucheza huyo Adi yusuph sijui km atacheza hii stars ya tapeli Amunike [emoji23] [emoji23]
Ha ha ha!
!
Hivi Hairuhusiwi Kuwa Na Magolikipa Watano Kwenye Mechi Moja. Wote Wanataka Halafu Ndani Tunakuwa Na Wachezaji Watano Tu
Yuko blackpool kwa sasaAmesaini Blackpool kutoka Sollihull majuzi kabla hajajiunga na Stars.Google Blackpool,Adi Yusuf nimesoma mahali.Yuko vizuri kocha amuamini tu
Baba kafata nini humu.?.. halafu achezi mpira.Muangalie babako jinsi alivyo kosha ulete nrejesho wa lishe
Toa Mao Mkami weka Chilunda ili kuongeza pressure za kutafuta magoli maana huo ukuta wako unatosha kabisa.