Yes aaah
The man was loved, ila hasa by ladies [emoji23]
Kifo chake hakikuwa kizuri kwa kweli, familia ilikuwa una tragics kweli kweli.
Eeh sasa ndio inavo kuwaga, au mume wa my WCW Theresa May. Ana lay low
Mi mwenyewe mke wangu akiwa Rais kwa kweli ntakuwa hata sionekani. There is no pride in being husband of the president jaman.
Joe was the man. Ndio akisaidia hata wizi wa kura za Illinois.
Halaf inaonekana na wewe kama wamarekani wenzio wote una wapenda sana kina Kennedy [emoji1]
Wakienda kwenye G summit the wives wanakua na programme zao wakati presidents wakiwa kwenye meeting na mr Marckel anabaki na the wives, siku hizi ana company ya mr MayEeh sasa ndio inavo kuwaga, au mume wa my WCW Theresa May. Ana lay low
Mi mwenyewe mke wangu akiwa Rais kwa kweli ntakuwa hata sionekani. There is no pride in being husband of the president jaman.
Na baba ake mkubwa Joseph alifariki on duty mwaka 1944 kwa ndege. Sasa huhu ndio Joe alipenda sana aje kuwa Rais.Imagine, kifo chake kama cha aunt yake dada wa baba yake nae alifariki kwenye plane crash, halafu hivyo hivyo na spouse wake.
Kwa sisi wanaume hakuna pride kubwa mkeo akifanikiwa sana. Zaid zaid unaonekana wewe ni mzembe.Hahaha!, eti husband wa President! [emoji3]
Ujiko je..
Joe was the man. Ndio akisaidia hata wizi wa kura za Illinois.
Halaf inaonekana na wewe kama wamarekani wenzio wote una wapenda sana kina Kennedy [emoji1]
Kwa mwanamke haitakiwi uwe power hungry, inabid uwe na charisma tuu pia the feminine part of you isiondoke hata wanaume wengi wata kupigia.
We na masuti yake hillary yale anaonekana mgumu kama mwanaume. Haiwavutii watu kukuchagua.
Sexism ime apply hapo hehehe
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Wako ends kwenye G summit the wives wanakua na programme zao wakati presidents wakiwa kwenye meeting na mr Marckel anabaki na the wives, siku hizi ana company ya mr May
Ntakutafuta wewe unipe hzo ABCs Sky ana majukum ya kuhakikisha nchi yetu inakuwa ya viwanda.
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]
Na familia ya Bush yoote ilikuwa jwa Clinton.
Trump asinge pita bila ku wa bash kina Bush. Ni siasa tu hizo.
Bush pekee alo msapit Trump ni mtoto wa Jeb a aitwaye George P Bush, yeye alisema ana msapot jamaa. Na yeye mwaka hui alikuwa ana fight for Re election kama Land Commissioner wa Texas. Trump akasema namsapot he is loyal mchizi akapata nomination tena kirahisi tuu
NIxona was robbed in 1960, na hicho ndio kilikuwa chanzo cha Nixon kubadilisha mtazamo wake wa kisiasa na ku prefer siasa chafu tuu tho later ili mcost. Niliuanidka uzi wa uchaguzi wa 1960. Kautafute utauona. Japo haukupata washabiki kabsaa. Si una jua Jf na hayo mambo watu hawajui.Hivi kumbe ni kweli Joe ali orchestrate kura za JFK za Illinois?!!
No wonder yule mobster alimtolea uvivu akamsema, wakati AG, RFK alivyojaribu kwenda after him on his mission against the Mafia.
Na baba ake mkubwa Joseph alifariki on duty mwaka 1944 kwa ndege. Sasa huhu ndio Joe alipenda sana aje kuwa Rais.
Alinisikitisha sanaaa! (Japo nilikuja kuisoma tuu baadaye)
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Niliona sku ile wazee wako na Kina Melania na my other WCW Briggete Macron.
Mi ninge kuwa siendi asee.
NIxona was robbed in 1960, na hicho ndio kilikuwa chanzo cha Nixon kubadilisha mtazamo wake wa kisiasa na ku prefer siasa chafu tuu tho later ili mcost. Niliuanidka uzi wa uchaguzi wa 1960. Kautafute utauona. Japo haukupata washabiki kabsaa. Si una jua Jf na hayo mambo watu hawajui.
Hahaha, wengine huwa wanadiriki kusema yale ma mob ndio yalimuua JFK kwa kuwa walikuwa na hasira naye. Hasa baada ya kuanza kifuatiliwa.
Its politics, Republican ya saa hizi ni ya Trump hata kina bush wana lijua hilo, alimuona baba yake vile alivo anguka kwa ku mbash Trump.Aiseeh!, familia haijamtenga?
At least anasawazisha kidogo..
No one knows kwa kweliNtautafuta Uzi.
Inawezekana hawa walihusika kiasi na hizi assassins, halafu pia, it can go all the way back to Joe himself.
Kama tayari alikata corners kwenye uchaguzi wa mwanae, who knows what else he did for power..
Do it bhana si unajuaga mi na wewe tunaelewanaga wenyewe mambi yetu. [emoji1]Hahah!, wewe! [emoji3]
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]Eti masuti yake!, lakini Iceman!
[emoji28] [emoji28] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Leave Hillary alone bwana! [emoji28]
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]Kuna programme niliiangalia January, cow boys huwaambii kitu kwa Trump