Baba Yetu HESLB ulie Msasani Jina lako litukuzwe, ufisadi wako usije utupe leo Mikopo Yetu, utasamehe ubishi wetu wa kujaza kozi za Non-priority kama Raisi Wetu dhaifuu alivyowasamehe Mafisadi Wa EPA & BOT usitutie katika Migomo lakini utuokoe na Ukame wa Pesa Aaameeen....
mwana umetisha. . .hahahahahaha duh umenichekesha mr bvm.
ndo ivyo mkuu !! Yaani hapa nilipo naomba nipate hata ka 60% chn Ya hapo na suspend huu mwaka siendi chuo
Axee utata uko hapa,pakikaa vibaya hapa unaweza ukasukuma mwaka kitaa!
Teh teh teh!! kitu mean testing kina nipa homa, Ila jamaa wamechelewesha mzigo aiseee mid September baadhi ya vyuo wanafungua na mpaka sasa watu hawajui wamelamba % ngapi
Then next year wana bana masharti zaidi,
mkuu kitaaa kigumu balaaa Yaani huku hakushikiki kabixaaaaa !!
Mimi cjui wakinibania huo mkopo cjui ntafanya nini sasa maana hata ndoo ya maji inanishinda kubeba..GOD help us