Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
SawaLazima uwe na cheti original ili wafanye verification( uhakiki wa cheti) na kama huna cheti chako cha form 4 basi nenda baraza la mitihani wakakupe matokeo yako ili uweze pokelewa
Ukifika tu wanataka;Ndugu yangu amepokelewa kwa sharti ya kupeleka og ndani ya muda aliopewa. Itabidi akamatane na necta. Lakini vyuo wana uwezo wa kuhakiki na necta kupitia database ya necta.
Itakua saivi,enzi zetu lazima uwe nacho original,form six ndio ilikua ata result slipNi copy vyuo vingi ,labda taja chuo chako tunaweza kukusaidia ila nina uhakika 90% ni copy tu .
Habar Wana jf,
Kwa wenye ufahamu zaidi kuhusu hili je unaweza kusajiliwa chuon Kama una copy ya Chet Cha form four kwa mtu aliyepotelewa na Chet original au haiwezekan mpk Chet chenyewe ndo unasajiliwa nasemmea kwa first year wakat wa kuliport chuon
Mara nying wanataka originalNi copy vyuo vingi ,labda taja chuo chako tunaweza kukusaidia ila nina uhakika 90% ni copy tu .
AiseeNilikuwa na ishu kama yako ila nimepokelewa na nimesajiliwa tayari,nilichofanya mimi kabla ya kureport nilipiga simu chuoni nikawaeleza wakanambia niende kwa mwanasheria ni certify copy na ndo nilivofanya...
Original ulipoteza auNilikuwa na ishu kama yako ila nimepokelewa na nimesajiliwa tayari,nilichofanya mimi kabla ya kureport nilipiga simu chuoni nikawaeleza wakanambia niende kwa mwanasheria ni certify copy na ndo nilivofanya...
Original ulipoteza au
Ooh ngoja nikutext dm unielewesheNilikuwa na ishu kama yako ila nimepokelewa na nimesajiliwa tayari,nilichofanya mimi kabla ya kureport nilipiga simu chuoni nikawaeleza wakanambia niende kwa mwanasheria ni certify copy na ndo nilivofanya...