First years vyuo lini jamani

achyb

Member
Joined
Aug 10, 2013
Posts
23
Reaction score
5
Hi JF, kumekuwa na uzushi mwingi kuhusu admissions za wanafunz wa mwaka wa kwanza vyuoni, wengine wanasema mwez wa kumi wengine mwezi wa pili wengine January.. sasa which is witch??? Serikali yenyewe haitak kutoa tamko rasmi. ts better waseme ili tujiandae.
Naomba anayejua ukweli kuhusu hili anifahamishe.!
 

chuo ni sept/octob hyo january ataenda wazr na m..ke wake.
 
Kuwa na subira taarifa kamili tutajulishwa usifanyie kazi hbr ambazo hazina udhibitisho dogo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…