Mrejesho chief kama ulivyo kusudia...kwa mil 10 au less unaweza kuanzisha fish cage. kwa ushuhuda naongelea maji ya ziwa na sato. lakin mavuno baada ya miez 7 waweza pata had mil 250 minimum per cage ya 6 square meter. gharama za uendeshaj kama chakula na ulinz na soko zaweza kutofautiana. ngoja nikitia miguu yote miwili katika hili nitawashirikisha. Kwakweli Uganda wako vizuri katika hili. mchanganuo wa malighaf na ujenz ninao.
Usikute anaugulia maumivu.Mrejesho chief kama ulivyo kusudia...
Usikute anaugulia maumivu.
Tunasubiri mkuu.Baadae nitashusha nondo kuhusiana na ufuagaji wa samaki kwa njia ya cage....
tunakusubiriBaadae nitashusha nondo kuhusiana na ufuagaji wa samaki kwa njia ya cage....
Napangilia maandishi mkuu.... mambo yakiwa poa nitarusha nondotunakusubiri