Fish farming can pat you a lot

Fish farming can pat you a lot

muhala.jr

JF-Expert Member
Joined
Jul 25, 2014
Posts
746
Reaction score
655
are you in Tanzania and looking for assistance in fish farming? are you looking for fish seed or feed?? contact me 0717451771. for consultation and advice
 
mr muhala hebu unipe mwanga kidogo kuhusu samaki (kambali na sato) hasa kwa mimi ninaye kaa mjini space ni ndogo. kama nikanunua simtank za lita 1000 kama tatu hivi nizikate kwa juu ziwe wazi then niwafuge samaki humo je inaweza kunilipa?, upatikanaji wa chakula pia. maji sio tatizo sana nina kisima kikubwa cha chini navuna maji ya mvua..
ushauri tafadhali..
 
Back
Top Bottom